Hala hala kuna Kisonono cha kiwango cha juu chaingia...kinaitwa "super gonnorhea"

"Mshahara wa Uzinzi ni Majanga.." mwisho wa kunukuu
 
Wanawake wanapenda mteremko kinachowafanya wafanye hivyo ni udangaji tuu kupata hela huku na huku hakuna kingine...tusema tamaa
 
Angalia picha pale juu
hiyo mipicha nshakutana nayo nikiwa na umri mdogo sana, sijui walikuwa NGOs za kupambana na magonjwa ya zinaa, walkuwa wanaonyesha sinema usiku uwanjani.
Sana sana zilinitia kinyaa tu, ila abdalah kichwa wazi akiita nasahau vyote nasijawahi kupata hata upele mpaka leo hii.
Kilichonifanya nichane na kuruka ruka ni sababu za kiroho nlizopata in deep from the source different from these common religious. Ambazo kwa hiki.kizazi cha dijitali hawawezi kuzielewa hata iweje wanasubiri wasikie kutoka BBC na CNN, na sosho netiweki.
 
maana ake unaeza pima ukawa huma next 6 weeks vipimo vikaonesha unawadudu,. sasa ukipima ukatoka na shangwe utakuja kujua hujui😂😂 wabongo huishia kusema wamelogwa kumbe ni nguvu ya mamba kumai😀😀
Siku moja tu hiyo inatosha kunipa nguvu ya kuburudika ...maana ngwengwe nowadays ipo njenje....wengine mpira hapana aisee
 
Tushirikishe tuokoke na sisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…