Hala hala kuna Kisonono cha kiwango cha juu chaingia...kinaitwa "super gonnorhea"

Hala hala kuna Kisonono cha kiwango cha juu chaingia...kinaitwa "super gonnorhea"

Ila nimesema tuu kukoleza mada..ila how come gono la Dom liwe tofauti?
Nikiwa muhanga nimemaliza ku do usiku , alfajiri kitu imeitika usahaa huo kama mikojo na nilikuwa natakiwa kuanza safari ya kurudi home, na mwenzangu huwa anatabia ya ku nitest nikifika, ilibidi nibadilishe route hadi nilipo pona ndio nikarudi home.. na karibia wote tuliokuwa nao kwenye kazi walipata kifurushi chao.. tofauti kabisa na Dar
 
Nikiwa muhanga nimemaliza ku do usiku , alfajiri kitu imeitika usahaa huo kama mikojo na nilikuwa natakiwa kuanza safari ya kurudi home, na mwenzangu huwa anatabia ya ku nitest nikifika, ilibidi nibadilishe route hadi nilipo pona ndio nikarudi home.. na karibia wote tuliokuwa nao kwenye kazi walipata kifurushi chao.. tofauti kabisa na Dar
Weee muitikio wa mapema hivyo? Au uliusomba huko Dar so ulipokuja Dom ukakutana na mwenye navyo mwingine aka vi catalysed mambo yakawa mambo??
Ila nyie wanaume hebu jirekebisheni jamani yani unaenda kukutana na mtu humjui kavu kavu..mtatuua walah
 
Weee muitikio wa mapema hivyo? Au uliusomba huko Dar so ulipokuja Dom ukakutana na mwenye navyo mwingine aka vi catalysed mambo yakawa mambo??
Ila nyie wanaume hebu jirekebisheni jamani yani unaenda kukutana na mtu humjui kavu kavu..mtatuua walah
Gono ni masaa halina cha siku kwa wanaume.. Nilie mla alikuwa staff yupo very smart msafi mrembo kichizi ila ana gono la dodoma.. kavu kavu tamu.. condom ni dhambi, uasherati dhambi kuna atari za kishirikina kutumika mbegu vibayaa .. inshore ni kuoa na kutulia na mmoja na sio kuhamasisha matumizi ya ndom
 
Gono ni masaa halina cha siku kwa wanaume.. Nilie mla alikuwa staff yupo very smart msafi mrembo kichizi ila ana gono la dodoma.. kavu kavu tamu.. condom ni dhambi, uasherati dhambi kuna atari za kishirikina kutumika mbegu vibayaa .. inshore ni kuoa na kutulia na mmoja na sio kuhamasisha matumizi ya ndom
Duuh ndo ujue mwanamke kuonesha dalili ni mbinde..pole any way
 
Duuh ndo ujue mwanamke kuonesha dalili ni mbinde..pole any way
wanawake gono halionekani kirahisi, ila lina athari anapotunga mimba mtoto kuzaliwa kipofu ( ndio maana dom kuna kipindi kulikuwa na matonya wengi sana ), watoto kufa, hata mifumo ya uzazi kuharibika na kujikuta hazai tena. Me kujitibu gono ni rahisi sana kama atazingatia mashart
 
wanawake gono halionekani kirahisi, ila lina athari anapotunga mimba mtoto kuzaliwa kipofu ( ndio maana dom kuna kipindi kulikuwa na matonya wengi sana ), watoto kufa, hata mifumo ya uzazi kuharibika na kujikuta hazai tena. Me kujitibu gono ni rahisi sana kama atazingatia mashart
Yah i know that..ni tabu sana
 
Nikiwa muhanga nimemaliza ku do usiku , alfajiri kitu imeitika usahaa huo kama mikojo na nilikuwa natakiwa kuanza safari ya kurudi home, na mwenzangu huwa anatabia ya ku nitest nikifika, ilibidi nibadilishe route hadi nilipo pona ndio nikarudi home.. na karibia wote tuliokuwa nao kwenye kazi walipata kifurushi chao.. tofauti kabisa na Dar
Kumbe cha Dom ni kama Azam TV burudani kwa wote 😀
 
Gono ni masaa halina cha siku kwa wanaume.. Nilie mla alikuwa staff yupo very smart msafi mrembo kichizi ila ana gono la dodoma.. kavu kavu tamu.. condom ni dhambi, uasherati dhambi kuna atari za kishirikina kutumika mbegu vibayaa .. inshore ni kuoa na kutulia na mmoja na sio kuhamasisha matumizi ya ndom
Ndio kusema dom wana gono lao special.?
 
Back
Top Bottom