Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Mfano mechi ya Man City vs West Harm alifanya nini haswa uwanjani tofauti na kufunga magoli tu? Hana vigezo vya ubora kufikia akina Cr7 na Messi hata kwa 25% tu, Haaland wa kawaida sana tu.Ofcourse kwa Sasa huwezi mlinganisha na hao, Ila akiwa na hii consistency kwa misimu 10, basi bila shaka atalinganishwa.
Hofu yangu hawezi kukaa na hii form kwa miaka 10 kama walivyofanya Messi na Ronaldo
Si kwa Messi bali hata kwa Mbape Haaland ni kindergarten player.shabiki gani wa messi anamchukia haaland??
Haaland huwez mfananisha na messi, ni wachezaji tofauti wanaofanya mambo tofauti uwanjani.
Kwa upande watu nampenda haaland ni mfungaji mzuri, ila ukisema umfananishe na messi, that would be disrespectful.
Isipokuwa Rudiger. Nasema uongo ndugu zangu?🤣🤣🤣🤣Wewe hizo beki mchuzi tu Kwa streka kama halland akiwa kwenye ubora wake watamzidi nini jamaa kapewa Kila kitu nguvu hawamuwezi urefu anao akili anazo Sasa watamzidi nini acheni kusifiasifia vitu ongeeni mpira halland ananyanyasa beki yeyote Ile yaani wanavosifiwa hao mabeki kanakwamba wanamiguu sita wasingefungwa kipindi hicho acheni uongo
Wewe mpira hujui au inawezekana ni masikini unachukia kijana mdogo wa miaka 22 kakuzidi kipato huku wewe ukiwa mzee miaka 58Si kwa Messi bali hata kwa Mbape Haaland ni kindergarten player.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Endelea tu kudemka mbele ya Jambazi.Nimekuambia nenda kafunge wewe kelele za nini kama kufunga rahisi nenda wewe Mimi sio shabiki wa city ila naongea ukweli
Rudiger ni mgupi kama hao aliwatajaIsipokuwa Rudiger. Nasema uongo ndugu zangu?🤣🤣🤣🤣
Haaland hata kwa Suarez Minjino bado ni Dogo sana kiuwezo, shida hapa ni mahaba Vs akili ndicho kinachojaza tu servers za JF.Wewe hizo beki mchuzi tu Kwa streka kama halland akiwa kwenye ubora wake watamzidi nini jamaa kapewa Kila kitu nguvu hawamuwezi urefu anao akili anazo Sasa watamzidi nini acheni kusifiasifia vitu ongeeni mpira halland ananyanyasa beki yeyote Ile yaani wanavosifiwa hao mabeki kanakwamba wanamiguu sita wasingefungwa kipindi hicho acheni uongo
Hilo la kusema Halaand kanyanyasa Kila beki aliyekutana nae nimekataa na sababu ya kukataa ni RudigerRudiger ni mgupi kama hao aliwataja
Wewe mpira ulikua huangalii kitendo Cha mtu kukaa na wewe mda wote ni unamnyanyasa huoni Kila mda alikua yeye na halland wakati mwenzake yupo kawaida tu ila yeye amemkamia kiufupi hamuwezi kama angekua wa kawaida angerelaxHilo la kusema Halaand kanyanyasa Kila beki aliyekutana nae nimekataa na sababu ya kukataa ni Rudiger
Semaji kuu la Haaland toka Nanjilinji TZ linapobwatuka tu bila kujua dishi limecheza 🤗Wewe mpira hujui au inawezekana ni masikini unachukia kijana mdogo wa miaka 22 kakuzidi kipato huku wewe ukiwa mzee miaka 58
Huo ndio ukweli mnamchukia kijana kwasababu nyie mmezeeka na umasikini kama wewe unamiaka 58 huna hata Banda la nyasi kwanini usimchukie kijana mdogo kama halland mwenye miaka 22 ambae anaweza kulisha ukoo wenu mpaka kufa kwenuSemaji kuu la Haaland toka Nanjilinji TZ linapobwatuka tu bila kujua dishi limecheza 🤗
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Wangekuwa wanaangalia ufungaji tu basi Halland saizi angekuwa mchezaji bora kwa misimu mitatu mfululizo lakini hata mara moja hajawaRonaldo alikua anahudumu namba ngapi pale Man united??
Akina Juniors watapinga ila wanajizima tu data.Watu wengi hawaelewi.. mpira miaka 10 nyuma na sasa hivi kuna utofauti sana.
Zamani kulikuwa na WACHEZAJI hasa..
Siku hizi hakuna kitu, ndio maana kizazi cha CR7 na Messi kikiondoka hakuna mvuto.
Em fikiria kipindi yupo DROGBA, PATO, PUYOL, INZAGHI, KAKA, RONALDINHO, TEVEZ, LAMPARD, TERRY, VIDIC, FABREGAS, golini wakina Van D sir etc.. jamani mpira umebadirika sanaaa....
Eden Hazard, walichezea sana mpira sema ndiyo walikuwa na miamba akina Cr7 na Messi.Kizazi cha mwisho cha dhahabu ndio hiki cha kina Messi,Ronaldo,Suarez,Aguero,Modric,Marcelo.
Na hapo baadhi washastaafu na waliobaki soon wanastaafu.
Najua litapingwa hili ila Aguero alikuwa ni mzuri kuliko hata huyu Haaland anaeshinda hizi goli nyingiSikuhizi soka limekuwa ujinga sana
Linaangalia magoli tu yaani namba sasa halaand hana kipaji cha soka kabisa ila ni vile tu basi tu
Pep mwenyewe alishasemaga "sometimes football is beyond the number"
Haland wa kawaida sana
Hajamfikia Messi, Hajamfikia Ronaldo. Hao wazee wanachosha sasa mwishowe wapewe tena Balon.Mfano mechi ya Man City vs West Harm alifanya nini haswa uwanjani tofauti na kufunga magoli tu? Hana vigezo vya ubora kufikia akina Cr7 na Messi hata kwa 25% tu, Haaland wa kawaida sana tu.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Halland amekuwa mchezaji bora wa epl mara ngapi?Hajamfikia Messi, Hajamfikia Ronaldo. Hao wazee wanachosha sasa mwishowe wapewe tena Balon.
madrid badala wangemchukua harlaand wakaenda chukua mwanariadha mbapeHuyu jamaa mbona sisikii timu zikimuwania kumchukua eg madrid
Yaani nawewe umekaa huko unaihesabia Arsenal? Huyo hata akuzidi points 50 utamkuta njiani tuErling Haaland ameweka rekodi kuwa mchezaji wa kwanza kwenye historia ya EPL kufunga mabao 70 mapema zaidi.
➜ 69 - Games.
➜ 70 - Goals scored.
Ni wachezaji wawili pekee kwenye historia waliofunga Hat-tricks back to back mara mbili katika ligi kuu ya England (EPL) 🙌
Harry Kane :
⚽⚽⚽ vs Burnley
⚽⚽⚽ vs. Southampton
⚽⚽⚽⚽ vs Leicester
⚽⚽⚽ vs Hull
Erling Haaland
⚽⚽⚽ vs Palace
⚽⚽⚽ vs Nottingham Forest
⚽⚽⚽ vs Ipswich
⚽⚽⚽ vs West Ham
ℹ️ Bernardo Silva amefikisha Assists (44) EPL, Assists nyingi kuliko mchezaji yoyote wa Portugal 🇵🇹 kwenye historia ya EPL.
Full - West Ham 1 - 3 Man City
⚽️⚽️⚽️ Haaland — 10', 30', 83'
⚽ Dias (Own Goal) — 19'
Ni kosa kubwa sana kumuacha kipara (Pep) akutangulie points, Arsenal wameshafanya kosa hilo mapema sana ! 😀
Full - Arsenal 1 - 1 Brighton.
Tom Cruz facts 🧠
takes lot of skills to do it consistently kwenye pro level. sio kila striker anaweza kamandaHaaland mzee wa tap in
Mzee wa kutengewa, anapotea ktk big matches
Ulimshuhudi Ronaldo msimu alioweka rekodi ya kufunga goli 31 epl?