Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Vodka na AK-47Hatuwachukulii poa Warusi. Ila tuambie Warusi wameifanyia nini dunia mpaka sasa hivi? Tunataka matokeo siyo Kusema unawachukulia poa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vodka na AK-47Hatuwachukulii poa Warusi. Ila tuambie Warusi wameifanyia nini dunia mpaka sasa hivi? Tunataka matokeo siyo Kusema unawachukulia poa.
Wangeifanyia kitu dunia kama wangekua na mawazo ya kikoloni kutaka kutawala wengine, wao wanajifanyia yao kwa manufaa yaoHatuwachukulii poa Warusi. Ila tuambie Warusi wameifanyia nini dunia mpaka sasa hivi? Tunataka matokeo siyo Kusema unawachukulia poa.
HakikaUSA ni dude kubwa mno, huwezi lishinda kwa maneno matupu mitandaoni huku ukitumia vifaa vyao vya mawasiliano pamoja na internet yao.
Ingekuwa kweli Mrusi asingekuwa anamuomba Elon Musk kanuni ya kutengeneza Rocket ziwe zina ufanisi.Sasa hapo kuna jambo gani la ajabu hapo ?hayo mambo uliyoyaweka hapo hata Iran anayatengeneza sembuse Urusi na china ?
Mbona hivyo vitu vyote ulivyo viweka hapo Urusi imeanza kuvitengeneza zaidi ya miaka 50 iliyo pita?
Tena mpaka sasa Marekani anaitegemea injini za Urusi ili aweze kupeleka wanaanga wake.
Mtu akileta ubishi muulize swali dogo tu kuwa internet..aseme tu Internet nani alileta ....nae aje na internet yake kama vp tofauti kabisa na hiiView attachment 2906177View attachment 2906180
View attachment 2906178
View attachment 2906182
View attachment 2906183
Hawa jamaa wameshindika. Alafu mtu mwenye akili timamu unasema wanaiba madini Africa. Nani hapa ulimwenguni mwenye uwezo wa kutengeneza hayo madude
Mchina, Russia wanatamani lakini wapi. Wanaishia Ku copy na kupaste tu USA ni habari nyingine
Tuache utani, jamaa wabunifu sana
Wako mbion kuleta chanjo ya kansa.Nakukumbusha tu warusi ndo watu wa kwanza kurusha satellite. warusi ndo wa kwanza kushusha chombo mwezini. warusi ndo wa kwanza kushusha chombo kwenye sayari ya mars. warusi ndo watu kwanza kurusha space station huko angani
Acha uongo. Tupe ushahidi. Alirusha lini? Nakuambia watu waliotua kwenye sayari nyekundu ni Marekani, China na Elon Musk. Huyu Mrusi wako ameishia mwezini tu, napo alifika mwezini kwa kufuata nyayo za MarekaniMrusi wakwanza kurusha chombo mars na pia wakwanza kurusha chombo mwezini,,Marekani ni wakwanza kurusha chombo chenye binadamu kwenda mwezini ila sio kwamba wengine walikua bado
Taja hayo ambayo China na Urusi wamempita kwa mbali sana USA.Juzi Putin alisema kwa upande wa propaganda hakuna anaeweza kuwafikia Marekani, maana vyombo vyote vya habari vikubwa ulimwenguni wanamiliki wao...
Ila kiuhalisia China na Urusi wanampita kwa Mengi sana Marekani...ila sababu tunasubiri CNN na BBC ndio waseme tutasubiri sana.
Acha uongo. Tupe ushahidi. Alirusha lini? Nakuambia watu waliotua kwenye sayari nyekundu ni Marekani, China na Elon Musk. Huyu Mrusi wako ameishia mwezini tu, napo alifika mwezini kwa kufuata nyayo za Marekani
Ha ha ha ha, zina msaada gani kwenye maisha ya kila siku? Tazama vitu alivyo gundua Mmarekani, Simu, Ndege, Radio na TV, Silaha nzito nzito zote nk. Hao wengine wote wanafuata nyayo za Marekani.Vodka na AK-47
Umeelewa kinacho zungumzwa hapo na Wikipedia?
Uzuri ni kwamba Wikipedia wameeleza vizuri hapo. Hebu rudia kusoma tena, kisha niambie alikuwa anazungumzia nini
Nikuulize wewe kama umeelewaUmeelewa kinacho zungumzwa hapo na Wikipedia?
Kabla ya musk hao Nasa engine za rocket walikua wananunua wapiIngekuwa kweli Mrusi asingekuwa anamuomba Elon Musk kanuni ya kutengeneza Rocket ziwe zina ufanisi.
Kwenye maelezo yako ya kwenye picha yako hakuna sehemu inayo onesha Urusi kutua MarsNikuulize wewe kama umeelewa
Ndo usome vizuri kila kitu kipo wazi labda kama lugha inakupiga chenga.....najua ulipokwamaKwenye maelezo yako ya kwenye picha yako hakuna sehemu inayo onesha Urusi kutua Mars
Tupe ushahidi hapa mkuu.Russia ndiyo ya kwanza kutengeneza chombo Cha kwenda anga za mbali. Russia ndiyo ya kwanza kumpeleka mwanadamu anga za mbali mwaka 1961. Russia ndo ya kwanza kutengeneza manowari ya nyuklia.