Halafu mtu anasema ni wezi, ona madude hayo

Halafu mtu anasema ni wezi, ona madude hayo

Juzi Putin alisema kwa upande wa propaganda hakuna anaeweza kuwafikia Marekani, maana vyombo vyote vya habari vikubwa ulimwenguni wanamiliki wao...

Ila kiuhalisia China na Urusi wanampita kwa Mengi sana Marekani...ila sababu tunasubiri CNN na BBC ndio waseme tutasubiri sana.
 
Sasa hapo kuna jambo gani la ajabu hapo ?hayo mambo uliyoyaweka hapo hata Iran anayatengeneza sembuse Urusi na china ?
Mbona hivyo vitu vyote ulivyo viweka hapo Urusi imeanza kuvitengeneza zaidi ya miaka 50 iliyo pita?
Tena mpaka sasa Marekani anaitegemea injini za Urusi ili aweze kupeleka wanaanga wake.
Ingekuwa kweli Mrusi asingekuwa anamuomba Elon Musk kanuni ya kutengeneza Rocket ziwe zina ufanisi.
 


Hawa jamaa wameshindika. Alafu mtu mwenye akili timamu unasema wanaiba madini Africa. Nani hapa ulimwenguni mwenye uwezo wa kutengeneza hayo madude

Mchina, Russia wanatamani lakini wapi. Wanaishia Ku copy na kupaste tu USA ni habari nyingine
Tuache utani, jamaa wabunifu sana
Mtu akileta ubishi muulize swali dogo tu kuwa internet..aseme tu Internet nani alileta ....nae aje na internet yake kama vp tofauti kabisa na hii
 
Nakukumbusha tu warusi ndo watu wa kwanza kurusha satellite. warusi ndo wa kwanza kushusha chombo mwezini. warusi ndo wa kwanza kushusha chombo kwenye sayari ya mars. warusi ndo watu kwanza kurusha space station huko angani
Wako mbion kuleta chanjo ya kansa.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Mrusi wakwanza kurusha chombo mars na pia wakwanza kurusha chombo mwezini,,Marekani ni wakwanza kurusha chombo chenye binadamu kwenda mwezini ila sio kwamba wengine walikua bado
Acha uongo. Tupe ushahidi. Alirusha lini? Nakuambia watu waliotua kwenye sayari nyekundu ni Marekani, China na Elon Musk. Huyu Mrusi wako ameishia mwezini tu, napo alifika mwezini kwa kufuata nyayo za Marekani
 
Juzi Putin alisema kwa upande wa propaganda hakuna anaeweza kuwafikia Marekani, maana vyombo vyote vya habari vikubwa ulimwenguni wanamiliki wao...

Ila kiuhalisia China na Urusi wanampita kwa Mengi sana Marekani...ila sababu tunasubiri CNN na BBC ndio waseme tutasubiri sana.
Taja hayo ambayo China na Urusi wamempita kwa mbali sana USA.
 
Acha uongo. Tupe ushahidi. Alirusha lini? Nakuambia watu waliotua kwenye sayari nyekundu ni Marekani, China na Elon Musk. Huyu Mrusi wako ameishia mwezini tu, napo alifika mwezini kwa kufuata nyayo za Marekani
Screenshot_20240216-210341_Samsung Internet.jpg
Screenshot_20240216-210300_Samsung Internet.jpg
 
Back
Top Bottom