stormryder
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 3,776
- 5,786
Ninapo sema jamii forum tuwe naingia kwa vyeti ndo mambo kama hayan yaani ukute la saba humu ni wengi asee admin muwa mnafanya interviews kujiunga jamii forumView attachment 2906177View attachment 2906180
View attachment 2906178
View attachment 2906182
View attachment 2906183
Hawa jamaa wameshindika. Alafu mtu mwenye akili timamu unasema wanaiba madini Africa. Nani hapa ulimwenguni mwenye uwezo wa kutengeneza hayo madude
Mchina, Russia wanatamani lakini wapi. Wanaishia Ku copy na kupaste tu USA ni habari nyingine
Tuache utani, jamaa wabunifu sana
View attachment 2906177View attachment 2906180
View attachment 2906178
View attachment 2906182
View attachment 2906183
Hawa jamaa wameshindika. Alafu mtu mwenye akili timamu unasema wanaiba madini Africa. Nani hapa ulimwenguni mwenye uwezo wa kutengeneza hayo madude
Mchina, Russia wanatamani lakini wapi. Wanaishia Ku copy na kupaste tu USA ni habari nyingine
Tuache utani, jamaa wabunifu sana
Mfyuuuuuhnaona umevutika na sekta yako........mie nafumua marinda nipokee pm
Mbona hakuna citizens wa USA hata hao maskini wakakimbilia huko China na kukamatwa?Msi fall kwenye propags za failed citizens.
Mbona mamilioni ya wachina wako kwao wanajenga nchi na wananufaika?
Kuna jambo unashindwa elewa kaka sijui dada.Mbona hakuna citizens wa USA hata hao maskini wakakimbilia huko China na kukamatwa?
Kwahyo unataka kumaanisha huko China raia maskini hawapafai??
Hajui kama China kuna amongst major factory ya utengenezaji wa I-phone.Mbona inaonesha vitu vya kawaida sana?
Hapo hamna kipya hata kimoja. Hata simu ulizoonesha zinatengenezwa Asia.
Ila kaka ungekaa ukaandika kwa kutulia.Ninapo sema jamii forum tuwe naingia kwa vyeti ndo mambo kama hayan yaani ukute la saba humu ni wengi asee admin muwa mnafanya interviews kujiunga jamii forum
Haya kijana jibu simple hivyo vyote ulivyovipost vinatengenezwa na madini fulan FULAN humo kuna nickel almium yaani vifaa umepost vingi hiyo simu kuna lithium ya congo
Sasa watu wanalalamika kuwa material ya kutengeneza vifaa hivyo yanapatika kwa biashara ya kuzurumati yaani sawa na bure kutoka kwa nchi wanakoyachimba
Mfano hapo tanzania dhahabu tukichimba tunapata faida 1% moja asimilia 99% wanafaidi wao watu wa canada huu mfano
Hapo congo hawapati kitu kabisa kwenye madini ya lithium na nickel maana wanafinance vikundi ya kiaasia vinawachimbia wanachukua almost bure
Watu wanalalamika imbalance of trade ....yaani sometimes wanaweka viongozi watakao kuwa wana support wamarekani wanaangusha serikali ambazo zitakuwa wakali juu ya malighafi mfano soma kati ya latin america na USA
NEXT JAMII FORUM WAFANYE INTERVIEWS SEBUSE ... LA SABA WENGI HUMU
Sikia yangu ya moyoni basiMfyuuuuuh
Sputnik ndio chombo cha kwanza ulimwenguni kufika mwezini na ndio watu wa kwanza kufika mwezini mwaka 1959 baada hapo marekani akapeleka Appolo na watu wa kwanza kutembea mwezini mmoja wapo anaitwa AmstrongKahawa inalewesha?
Dawa yenu mmeshalishwa sasa mmepoteaSisi Wahouth tunaopigana pekupeku huku hatujala chakula chochote hawatuwezi. Tutawapiga sana hapa Yemen.
Kitu Gani hapo katika picha Urusi Hana?View attachment 2906177View attachment 2906180
View attachment 2906178
View attachment 2906182
View attachment 2906183
Hawa jamaa wameshindika. Alafu mtu mwenye akili timamu unasema wanaiba madini Africa. Nani hapa ulimwenguni mwenye uwezo wa kutengeneza hayo madude
Mchina, Russia wanatamani lakini wapi. Wanaishia Ku copy na kupaste tu USA ni habari nyingine
Tuache utani, jamaa wabunifu sana
Tena iliwachukua wamarekani miaka kumi toka Urusi arushe.Sputnik ndio chombo cha kwanza ulimwenguni kufika mwezini na ndio watu wa kwanza kufika mwezini mwaka 1959 baada hapo marekani akapeleka Appolo na watu wa kwanza kutembea mwezini mmoja wapo anaitwa Amstrong
Si umeshaambiwa Warusi ndio watu wa kwanza kurusha chombo anga za juu na mbali kabisa na kurusha binadamu wa kwanza anga za mbali na juu kabisa.Hatuwachukulii poa Warusi. Ila tuambie Warusi wameifanyia nini dunia mpaka sasa hivi? Tunataka matokeo siyo Kusema unawachukulia poa.
Porojo hazibadili ukweliSoviet Union
Kuna kusoma na kuelewa na kuna kukaririshwa.
Wewe upo kundi gani hapo??
Maana naona wewe ndio unakataa uhalisia na kushikilia ya kumezeshwa ama kukaririshwa .
Agree to disagree.Porojo hazibadili ukweli
Acha kujitia wenge kwa chuki zako na wivu wako kwa waliofanikiwa,Agree to disagree.
Usijilazimishe kuwa kipofu kisa mahaba na Imperialists.
Mie huwa sina chuki na siendeshwi na mihemko.Acha kujitia wenge kwa chuki zako na wivu wako kwa waliofanikiwa,
UK na US ni kulwa na doto, nawe umecoment kwa kiingereza na sio kirusi.