Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu tunajenga reli ya zaidi ya trillion 17. Yani sisi niggers?kituo au kibanda cha polisi?
Bi Mkubwa yupo anapika supu na kachumbari halafu vituo vya polisi vipo hiviMbwembwe zote kule Kizimkazi kumbe vituo vya polisi vipo katika Hali hii?
Sijawaza hukoUnapongeza uhalifu na ujinga?
Kuna uhakika gani hao watu wawili ni wezi wa watoto?
Kuna watu wameshauwawa Dodoma kimakosa sababu ya jambo kama hili.
Kuna gari kadhaa zimesha chomwa Moto kwa mambo ya kuhisia wezi wa watoto.
Subiri yakimtokea nduguyo au wewe mwenyewe utaona ubaya wa kufanya hivyo.
Hayo yaliyo moyoni mwao wataenda kuyatolea jela. Yaani msako utakaopita kwenye hicho kijiji watahadithia vizazi vyao vyote.Dalili ya mvua ni mawingu.
Hii inaonyesha tayari wananchi washaanza kuchoshwa na mambo mbalimbali, na unaweza kuta hapo ni kiaingizio tu kumbe wana mengi mioyoni mwao.
Wananchi wamezingua sana. Hata kama ni kuthibiti basi tutumie akiliSasa hata tukibeba watoto wetu ni Hatari.
Mwanachi co.tz ndio gazeti pekee lililobaki ambalo angalao linatoa taarifa zenye kuaminika.
Picha za hali ya kituo cha Polisi Lulembela wilayani Mbogwe mkoani Geita baada ya jana Jumatano Septemba 11, 2024 kuvamiwa na wananchi huku wakifanya uharibifu wa baadhi ya mali ikiwamo gari.
Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime katika taarifa yake jana Jumatano kuhusu tukio hilo, alisema chanzo cha vurugu hizo ni baada ya watu wawili kuonekana wakiwa wamebeba watoto wawili na wananchi waliokuwa kwenye mnada wa Lulembelea kuwadhania ni wezi wa watoto kisha kuwashambulia.
“Walipokuwa wanawashambulia alitokea ofisa mtendaji wa kata akawabeba kwenye pikipiki na kuwapeleka katika Kituo cha Polisi Lulembela baada ya watu hao kwenye gari, akawapeleka kituoni, hata hivyo wananchi takribani 800 walifika kituoni na kuwataka polisi wawakabidhi watuhumiwa hao ili wawaue," amedai Misime.
Amesema licha ya askari polisi kuwaelimisha na kuwaeleza ni kosa kujichukulia sheria mkononi, wananchi hao walikaidi na kuanza kukishambulia kituo cha polisi kwa mawe wakilazimisha kuwachukua watu hao wawili kwa nguvu ili wawaue.
View attachment 3093941View attachment 3093948
Toa maelezo amefariki kwa sababu gani!? je alikuwa miongoni mwa wananzengo waliofanya uvamizi?Kwenye hizo vurugu kuna mwanafunzi wa sekondari kafariki
Shuka chini kwenye comment yangu nilimaanisha nini.unaweza ona ni sawa kwa kuwa halijakufika wewe ama nduguyo
ukiacha uonevu wa polisi na upumbavu wao wote, bila wao kuna viumbe watapotea