Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Wameishia kununua maji ya washawashakituo au kibanda cha polisi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wameishia kununua maji ya washawashakituo au kibanda cha polisi?
Hao wananchi 800 wameutaka wenyewe huo mpasuko acha wapasukehaiwezi kusaidia zaidi ya kuongeza mpasuko
Kipi lilikuwa cha ajabu hadi wananchi wakakasirika? Kwamba wasukuma hawajawahi kuona mtoto akibebwa na baba yake, si kweliMtoto mmoja alikuwa kabebwa na baba yake na mwengine ni wa kaka wa mama wa huyo mtoto. Kwa kifupi wasukuma walitaka kuwaua wazazi wa hao watoto.