Hali ilivyo kituo cha Polisi Lulembela kilichovamiwa na wananchi

Viongozi wetu waone aibu Kwa Kweli hivi hawajifunzagi au hata kuona wivu Kwa mazingira safii na miundombinu kiujumla Kwa hao wenzetu huko wanakoendaga kuchukua mikopo,,,Sasa Kwa Mazingira hayo ndio ofisi,,,nyumba zao Je??Wanajithamini sana wao kwa kujilipa maposho makubwa,,,vijana wao hoi kiafya na kimazingira,,,wataacha kula rushwa na kufanya vitu vya hovyo?? Sidhani!
 
Sijawaza huko
Mimi numefurahi kupondwa mawe hicho kituo na hiyo gali, ccm wajenge kipya
Halleluya
 
Dalili ya mvua ni mawingu.
Hii inaonyesha tayari wananchi washaanza kuchoshwa na mambo mbalimbali, na unaweza kuta hapo ni kiaingizio tu kumbe wana mengi mioyoni mwao.
Hayo yaliyo moyoni mwao wataenda kuyatolea jela. Yaani msako utakaopita kwenye hicho kijiji watahadithia vizazi vyao vyote.
 
Mwanachi co.tz ndio gazeti pekee lililobaki ambalo angalao linatoa taarifa zenye kuaminika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…