Hali ilivyo kituo cha Polisi Lulembela kilichovamiwa na wananchi

Naunga mkono hoja
 
Wananchi wamekosa imani na vyombo vya dola.na mahakama.

Sheria mkononi
 
Kwahio hadi polisi hawajathibitisha kuwa hao watoto walitekwa au la, Ila wamekomaa na wananchi walioamua kujilinda wenyewe baada ya watu waliopewa dhamana kufanya tofauti
Mtoto mmoja alikuwa kabebwa na baba yake na mwengine ni wa kaka wa mama wa huyo mtoto. Kwa kifupi wasukuma walitaka kuwaua wazazi wa hao watoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…