Hali ilivyo kituo cha Polisi Lulembela kilichovamiwa na wananchi

Propaganda ya ccm kuwaogopesha wananchi wasiandamane, lile tukio la mwanafunzi kuuwawa ni kiini macho hakuna ukweli wowote
 
Sasa hata tukibeba watoto wetu ni Hatari.
Hahahaha katoto kakiulizwa huyu ni nani?
Kakianza kujing'ata ng'ata unapigwa kofi, ukishapigwa kofi hapo katoto lazima kaogope, kakishaogopa kakiulizwa lazima kaseme simjuiii.

Ikishafikia hapo jiandae kwa kisago
 
Mpumbavu haitaj mazingira mazuri ya kutendea kaz. Yeye anaridhika na kupewa sifa kwa kupigwa kofi mgongoni tu kama Mbwa.

Naliona banda bovu la Security likisingiziwa kuharibiwa na wananchi.
 
toka hapa unatetea watekaji
mimi mwenyewe nilitekwa na mapolisi wa patrol kisa sikuwapa rushwa konyo sana hawa jamaa
 
Watanzania sasa wameanza kuwa sugu...
Kama mbwai na iwe mbwai
 
Samia Must Go!
 
This is hectic
 
Wamefanya makosa sana kuvamia polisi, FFU zitamwaga hapo na kuna wanao weza kwenda jela Maisha(kumbukeni wale Vijana wa bunju walivamia polisi)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…