Ingewekwa hata katoro ingekua Jambo la maana sana, sema mwamba alikua mbinafsi kiaina kajenga stand chato mwisho wa siku inaota Majani hadi kwenye lamiIngewekwa japo KATORO MJI ULIOCHANGAMKA KIBIASHARA
Hamna lolote zaidi ya KUMBWELA MBWELA tu .Kabisa
Endeleeni kumtukana Marehemu mkidhani ndiyo siasa itakayowapa kura 2025
viongozi waliobaki wajifunze, manake wapo ambao hawakujifunza kwa mobuti, pengine watajifunza na kwa chattle. hapo hujaenda kutuonyesha uwanja wa ndege uliogarimi bilioni 40.Hii ndiyo hali ilivyo katika stendi ya mabasi chato, Je tatizo ni nini? au watu wapo busy na kilimo hawasafiri tena? Je Nini kifanyike kwenye huu mradi ili fedha (kodi za wanyonge) zilizotumika ziweze kuwanufaisha wananchi?
View attachment 2552469
Jiwe ingekuwa inawezekana angefunguliwa mashitakaIngewekwa hata katoro ingekua Jambo la maana sana, sema mwamba alikua mbinafsi kiaina kajenga stand chato mwisho wa siku inaota Majani hadi kwenye lami
Serekali imetupa tu hela hapo
Kulwa Jilala atabishaHii ndiyo hali ilivyo katika stendi ya mabasi chato, Je tatizo ni nini? au watu wapo busy na kilimo hawasafiri tena? Je Nini kifanyike kwenye huu mradi ili fedha (kodi za wanyonge) zilizotumika ziweze kuwanufaisha wananchi?
View attachment 2552469
Safari kutoka Geita hadi Dar inachukua masaa 8 sawa na kutoka Kilimanjaro hadi Amsterdam?!!!
Naile bank ya CRDB inaendeleaje?mkuu tuletee na chato airport
Masaa 8 umeyatoa wapi mkuu?Safari kutoka Geita hadi Dar inachukua masaa 8 sawa na kutoka Kilimanjaro hadi Amsterdam?!!!
Huyo ni kuchaa usiwe na shaka nayeKulwa Jilala atabisha
Alichemka mengi tuIla hapa alichemka..
Nasikia mkandarasi wa huo uwanja alimtafuta yeye jiweviongozi waliobaki wajifunze, manake wapo ambao hawakujifunza kwa mobuti, pengine watajifunza na kwa chattle. hapo hujaenda kutuonyesha uwanja wa ndege uliogarimi bilioni 40.
Picha ya makao makuu ya TANESCO Chato pls..Hii ndiyo hali ilivyo katika stendi ya mabasi chato, Je tatizo ni nini? au watu wapo busy na kilimo hawasafiri tena? Je Nini kifanyike kwenye huu mradi ili fedha (kodi za wanyonge) zilizotumika ziweze kuwanufaisha wananchi?
View attachment 2552469
Wewe kalia kusema majizi huku ukilia na umasikini wako na kulalamika vitu kupanda wakati wenzio maisha yako vizuri tuSasa kama mlikuwa majizi ulitaka awapitishe kwenye mwanaga kama hawamu hii?.
Na ningekuwa bwana Jera mlitakiwa mletwe Gerazani mnikute niwape kitu cha upinde wa mvua mijizi mikubwaaa.
Kuna watu wana utani sana, eti wanamwita Jiwe shujaa waoLengo ni kumtukama Magufuli,hakuna kingine.
Ccm inaweza kuendelea kutawala lakini Sukuma gang hapana, yule ibilisi alichofanya ni kibaya sanaWamejikita kumtukana Magufuli ambaye hayupo.
Na 2025 wanategemea wagombee [emoji23]
CCM itaendelea kutawala.
Mataga,walinda legacy,Washabiki wa chuma nk kwani wao wanasemaje?Hii ndiyo hali ilivyo katika Dtendi ya Mabasi Chato, Je, tatizo ni nini? au watu wapo busy na kilimo hawasafiri tena? Je, nini kifanyike kwenye huu mradi ili fedha (kodi za wanyonge) zilizotumika ziweze kuwanufaisha Wananchi?
View attachment 2552469