Hali ilivyo Stendi Kuu ya mabasi Chato

Hali ilivyo Stendi Kuu ya mabasi Chato

Kuna tofauti kubwa kati ya Mobutu na hayo majengo ya Chato, Mobutu alijenga majengo kwaajili ya makazi yake, lakini sio kwa hayo ya umma hapo Chato.
Point of correction:
Mobutu alijenga projects nyingi(zote zimekufa) kama airports, museums, libraries, hospitals etc.
Alijenga miradi mingi na mikubwa kwamba Gbadolite ije iwe sehemu muhimu na center ya province bila ya kuangalia uhalisia, same kwa Chato ambayo iliibuka kwa kuiua Biharamulo na ikazidi kulazimishwa uwekezaji ungezingatia uhalisia basi angalau ngivu zingeelekezwa kwa Mwanza au at least Geita kwani huko miradi yote ingekuwa endelevu kutokana na uhalisia wa kiuchumi na population ya maeneo husika.
 
Point of correction:
Mobutu alijenga projects nyingi(zote zimekufa) kama airports, museums, libraries, hospitals etc.
Alijenga miradi mingi na mikubwa kwamba Gbadolite ije iwe sehemu muhimu na center ya province bila ya kuangalia uhalisia, same kwa Chato ambayo iliibuka kwa kuiua Biharamulo na ikazidi kulazimishwa uwekezaji ungezingatia uhalisia basi angalau ngivu zingeelekezwa kwa Mwanza au at least Geita kwani huko miradi yote ingekuwa endelevu kutokana na uhalisia wa kiuchumi na population ya maeneo husika.
Kama alivyojenga miradi mikubwa kwa jeuri tu
 
Not just Necessary say "must" sema must x 10 rudia tena ikukae kichwani. Ilikuwa ni lazima kwani magapi yamefanyika mikoa mingine tena makubwa? Nakuuliza ni project ngapi jpm wetu alizifanya sehemu tofati na chato iweje hako kawe gumzo?

Niseme hivi aliye jenga alijuwa jinsi gani watu watapatumia nagekuwa hai hapo kungekuwa ni habari nyingine.?

Muacheni apumzike basi kha!
Hata Mobutu basi alikuwa sawa kuwekeza Gbadolite ambayo ilikufa na kubaki magofu baada ya yeye kukimbia/kukimbizwa na kufia ukimbizini, hayo ni matokeo ya kufanya projects kwa upendeleo bila kuzingatia mahitaji halisi. Watu walikimbilia kununua viwanja Chato wakijua Jiwe atatumia pesa za walipa kodi kupendelea eneo hilo sasa wanahaha kutafuta wa kuwauzia hivyo viwanja hata kwa bei za hasara lakini hawawapati, nepotism was order of the day during Jiwe era.
 
Hata Mobutu basi alikuwa sawa kuwekeza Gbadolite ambayo ilikufa na kubaki magofu baada ya yeye kukimbia/kukimbizwa na kufia ukimbizini, hayo ni matokeo ya kufanya projects kwa upendeleo bila kuzingatia mahitaji halisi. Watu walikimbilia kununua viwanja Chato wakijua Jiwe atatumia pesa za walipa kodi kupendelea eneo hilo sasa wanahaha kutafuta wa kuwauzia hivyo viwanja hata kwa bei za hasara lakini hawawapati, nepotism was order of the day during Jiwe era.
Sahihi
 
Jicho analo babako na mamako

Hata baba yako na mama yako wanalo,ila yana upana mkubwa sababu ya matumizi yasiyo sahihi.
Nawewe umeshaanza kutumika ndio maana huwezi kutuliza.
 
Tulipiga kelele kuwa kuiwezesha Chato ni sawa ila juhudi zilipaswa zianze juu (mkoani) kuja chini wilaya zilizoamka mpaka vijijini.
Magufuli alianza kijijini kabla ya mjini. Sasa amekufa na kila kitu huko Chato kimekufa .
Mabilioni ameyapoteza bure.
 
Watu huyo Jamaa mnamchukia Sana.
Humu wamejaa viongoz wengi ambao walikua wahanga wa utawala wa Magufuli. Kwa jinsi alivyokua anapambana nao usitegemee kupata comments Positive humu.Kuna madc,ded,RAS na maafisa mbalimbali wa serikali,wamejaa humu ndani.Wananchi wa kawaida au chini ambao wengi ndio waliguswa na kazi zake wako Facebook na Instagram. Mashambulizi anayopata humu huwezi yakuta Facebook au Instagram
 
Back
Top Bottom