Mrs Thabo Bester
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 3,145
- 7,921
💃💃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie😁🤭Mengine ni wapambe ndio walikua wanafanya ili kujipendekeza kwa boss wao. Maana ilifikia hatua eti matokeo darasa la saba, ameongoza mwanafunzi wa Chato. Then form four, ameongoza mwanafunzi wa Chato.
Ilimradi tu wamfurahishe bwana yule!
Nimecheka sana, yaani yaliyosemwa yameanza kutimia,inamaana huko kanda ya ziwa hakuna sehemu nyingine ambayo ilibidi ipelekwe hiyo huduma?Ally umeenda chato kurekodi video au kumuenzi Muajiri wako wa zamani.
Kuhusu mitihani achana nayo,hujui utaratibu wake.tuendelee na haya mengineMengine ni wapambe ndio walikua wanafanya ili kujipendekeza kwa boss wao. Maana ilifikia hatua eti matokeo darasa la saba, ameongoza mwanafunzi wa Chato. Then form four, ameongoza mwanafunzi wa Chato.
Ilimradi tu wamfurahishe bwana yule!
Ni utaaaahiraAme misuse rasilimali za taifa, miradi mikubwa kurundika Chato ambako population yake haizidi watu 10k, ni eidha ufisadi au ni utaahira
Hujacheka umefurahi kufikiwa kwa ulichokitaka boss.Nimecheka sana, yaani yaliyosemwa yameanza kutimia,inamaana huko kanda ya ziwa hakuna sehemu nyingine ambayo ilibidi ipelekwe hiyo huduma?
Imagine zile resources za Chato Airport kama angezi consolidate kuimarisha Mwanza Airport. I hope ingekuwa uwanja mkubwa wa East Africa kwenye nchi zinazo share ziwa VictoriaMagufuli bhana badala ya kureinforce Mwanza sehemu ambayo chochote ukiendeleza lazima kilipe anaenda kule chato , moja ya akili mbovu Sana hyo
Amesahau kurekodi uwanja was ndege.Ally umeenda chato kurekodi video au kumuenzi Muajiri wako wa zamani.
As wapi mimi mwaanchi wa kawaida tu .lile pepo jini, shetwaan mwendazake bora lilienda tuHumu wamejaa viongoz wengi ambao walikua wahanga wa utawala wa Magufuli. Kwa jinsi alivyokua anapambana nao usitegemee kupata comments Positive humu.Kuna madc,ded,RAS na maafisa mbalimbali wa serikali,wamejaa humu ndani.Wananchi wa kawaida au chini ambao wengi ndio waliguswa na kazi zake wako Facebook na Instagram. Mashambulizi anayopata humu huwezi yakuta Facebook au Instagram
Sema tunamchukia 😂😂Watu huyo Jamaa mnamchukia Sana.
Never gonna happen.Wakamatwe walioandaa proposal za mchongo
Kwamba na hii miradi ya Dodoma haikuwa sahihi ?Miradi mingi ililazimishwa
Kaangalieni na Soko la Ndugai, Stand ya Dodoma
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Unacheza ngoma gani? 😅😅😅
Kazi ipo ukikodi moja unapewa na nyongeza moja ngoja nikafungue kilingeTulipiga kelele kuwa kuiwezesha Chato ni sawa ila juhudi zilipaswa zianze juu (mkoani) kuja chini wilaya zilizoamka mpaka vijijini.
Magufuli alianza kijijini kabla ya mjini. Sasa amekufa na kila kitu huko Chato kimekufa .
Mabilioni ameyapoteza bure.
View attachment 2555460
Na ndugu zetu akina ngosha wanavyopenda tunguri utapiga pesa sanaKazi ipo ukikodi moja unapewa na nyongeza moja ngoja nikafungue kilinge