Hali ilivyo Stendi Kuu ya mabasi Chato

Hali ilivyo Stendi Kuu ya mabasi Chato

Kabisa
Endeleeni kumtukana Marehemu mkidhani ndiyo siasa itakayowapa kura 2025
Hamna lolote zaidi ya KUMBWELA MBWELA tu .

Sukuma gang kwishaaaa habari zenu.

Mlituonea sana sasa huu ni muda wenu wa kuvumilia maana mchezo huu hautaki hasira.
 
Hii ndiyo hali ilivyo katika stendi ya mabasi chato, Je tatizo ni nini? au watu wapo busy na kilimo hawasafiri tena? Je Nini kifanyike kwenye huu mradi ili fedha (kodi za wanyonge) zilizotumika ziweze kuwanufaisha wananchi?
View attachment 2552469
viongozi waliobaki wajifunze, manake wapo ambao hawakujifunza kwa mobuti, pengine watajifunza na kwa chattle. hapo hujaenda kutuonyesha uwanja wa ndege uliogarimi bilioni 40.
 
Ingewekwa hata katoro ingekua Jambo la maana sana, sema mwamba alikua mbinafsi kiaina kajenga stand chato mwisho wa siku inaota Majani hadi kwenye lami

Serekali imetupa tu hela hapo
Jiwe ingekuwa inawezekana angefunguliwa mashitaka
 
Hii ndiyo hali ilivyo katika stendi ya mabasi chato, Je tatizo ni nini? au watu wapo busy na kilimo hawasafiri tena? Je Nini kifanyike kwenye huu mradi ili fedha (kodi za wanyonge) zilizotumika ziweze kuwanufaisha wananchi?
View attachment 2552469
Picha ya makao makuu ya TANESCO Chato pls..
Miradi ya kimkakati Chato yakwama - Sauti Kubwa

1678973956074.png
 
Sasa kama mlikuwa majizi ulitaka awapitishe kwenye mwanaga kama hawamu hii?.
Na ningekuwa bwana Jera mlitakiwa mletwe Gerazani mnikute niwape kitu cha upinde wa mvua mijizi mikubwaaa.
Wewe kalia kusema majizi huku ukilia na umasikini wako na kulalamika vitu kupanda wakati wenzio maisha yako vizuri tu
 
Wamejikita kumtukana Magufuli ambaye hayupo.
Na 2025 wanategemea wagombee [emoji23]

CCM itaendelea kutawala.
Ccm inaweza kuendelea kutawala lakini Sukuma gang hapana, yule ibilisi alichofanya ni kibaya sana
 
Hii ndiyo hali ilivyo katika Dtendi ya Mabasi Chato, Je, tatizo ni nini? au watu wapo busy na kilimo hawasafiri tena? Je, nini kifanyike kwenye huu mradi ili fedha (kodi za wanyonge) zilizotumika ziweze kuwanufaisha Wananchi?
View attachment 2552469
Mataga,walinda legacy,Washabiki wa chuma nk kwani wao wanasemaje?

Na Bado Sgr nayo itakuwa tembo mweupe kama hiyo stand.
 
Back
Top Bottom