Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,503
- 13,463
Hakuna cha wakati ule! Labda tuseme wakati ule Halmashauri angeenda stendi pale kutoa habar kuwa hii sio ya kweli! Stendi imechangamka na inatumika mda wote
Wakati Ule Kwa Hiyo Pictures Ungetiwa Msukosuko Na Mamlaka Mpaka Ungehama Tanzania