Taja mfano wa kazi unayoimuduHata mtu anaposomea anaangalia kazi ambayo anaimudu kulingana na madhaifu yake!!. . Kwahio wote wanao apply kazi maana ake wanaijua kazi Yao na wameisomea
Watanzania wengi hawathamini walemavu.Niende kwenye mada moja kwa moja!!.
Nimekuwa moja ya wahanga wa hili Tatizo kwa muda mrefu sana
Kati ya watu wanaosoma kwa mateso makubwa sana ni watu wenye ulemavu, kuanzia shule za msingi mpaka sekondari, hii inatokana na miundo mbinu mingi kuwa tofauti na Hali zetu watu wenye ulemavu.
Wakati mtu mwenye ulemavu anapambna akiamini kuwa yeye hawez kulima, kutembeza mitumba, Wala kufanya kazi ngumu za ujenzi akitegemea akili yake tu ya darasani angalau impe mwanga wa maisha.
Baada ya ajira huyu mtu mwenye ulemavu anaanza kuzunguka na baiskeli yake au magongo yake kweny interview mbalimbali, wakati mwingine hufanyika mikoani, au kwenye majengo yasiyo na lift.
Wengi wanaishia kukata tamaa sana.
Kuna sehemu niliwahi kataliwa kabisa kisa mimi ni mlemavu kwamba siwezi kufanya hio kazi kwasababu nitakuwa naenda sana hospitali, yaani trip kazini trip hospitali. Wanahisi labda sisi ni wagonjwa fulani hivi,
Inaumiza sana sana, naongea kwa niaba Yao sana.
Wengi walioajiriwa ni sababu za kisiasa, ili ionekane hawabaguliwi hasa kwenye sekta zinazohusiana na walemavu ndio huko wamejazwa!
Nina watu nawajua ni walemavu, wanapitia kipindi kigumu sana lakini wakiwa na elimu Yao kichwani! Yaani huu unyanyapaa huwezi ona kwa jicho la kawaida! Ni dhamira za watu.
Kitanda usicholalia huwezi jua kunguni wake!! We feel pain sana sana
Natimiza mwaka wa saba(7) tangu nimalize digrii yangu ya usimamizi wa fedha..
Serikali haitujali tena, zaidi ya kutulazimisha tukope pesa tuu.
Wadau wapo kimaslahi na kisiasa zaidi wapate attention wakati wanatoa misaada.
Hata vyama vya walemavu sasa hawana la kusema baada ya kulamba sukari
Sisi tukimbilie wapi zaidi yenu wadau wa hapa JF, tusaidieni kupaza sauti sisi walemavu tuliopambana kusoma kwa bidii, tunatamani kubeba tofali angalau tupate mkate wa kila siku lakini Hali zetu hazituruhusu.
Tuliamini katika elimu nayo imetusaliti, nchi imetutenga, tuna hari mbaya sana
Hongera kwakua mzima wafya na busara tele, wewe ni shujaa.Hakuna watu wakorofi kazini kama walemavu.
Nimekoma.
Wewe unafikiri mwaka huu unaweza kupitia bila kuwa mlemavu? Mungu na aichukue miguu aliyokupa utembelee makalio.Nakubaliana na wewe .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka, sijawahi sema hivyo. Na uzi haukuwa unahusu u pisi.Pole sana, ila mwenyewe ulisema ni bonge la pisi mpaka Makumbusho walikushangaa so kawaida hiyo!
Ogopa teknolojia!nimecheka, sijawahi sema hivyo. Na uzi haukuwa unahusu u pisi.
Tuwaelewe vipi! Mbele ya wanasiasa mnasema mnapewa nafasi sawa na mnashangilia hotuba zao, huku mnafai hampewi fursa sawa na raia wengine! Siku zote mimi husema usijaribu kumtetea mtanzania atakudodoshea zigo.Niende kwenye mada moja kwa moja!!.
Nimekuwa moja ya wahanga wa hili Tatizo kwa muda mrefu sana
Kati ya watu wanaosoma kwa mateso makubwa sana ni watu wenye ulemavu, kuanzia shule za msingi mpaka sekondari, hii inatokana na miundo mbinu mingi kuwa tofauti na Hali zetu watu wenye ulemavu.
Wakati mtu mwenye ulemavu anapambna akiamini kuwa yeye hawez kulima, kutembeza mitumba, Wala kufanya kazi ngumu za ujenzi akitegemea akili yake tu ya darasani angalau impe mwanga wa maisha.
Baada ya ajira huyu mtu mwenye ulemavu anaanza kuzunguka na baiskeli yake au magongo yake kweny interview mbalimbali, wakati mwingine hufanyika mikoani, au kwenye majengo yasiyo na lift.
Wengi wanaishia kukata tamaa sana.
Kuna sehemu niliwahi kataliwa kabisa kisa mimi ni mlemavu kwamba siwezi kufanya hio kazi kwasababu nitakuwa naenda sana hospitali, yaani trip kazini trip hospitali. Wanahisi labda sisi ni wagonjwa fulani hivi,
Inaumiza sana sana, naongea kwa niaba Yao sana.
Wengi walioajiriwa ni sababu za kisiasa, ili ionekane hawabaguliwi hasa kwenye sekta zinazohusiana na walemavu ndio huko wamejazwa!
Nina watu nawajua ni walemavu, wanapitia kipindi kigumu sana lakini wakiwa na elimu Yao kichwani! Yaani huu unyanyapaa huwezi ona kwa jicho la kawaida! Ni dhamira za watu.
Kitanda usicholalia huwezi jua kunguni wake!! We feel pain sana sana
Natimiza mwaka wa saba(7) tangu nimalize digrii yangu ya usimamizi wa fedha..
Serikali haitujali tena, zaidi ya kutulazimisha tukope pesa tuu.
Wadau wapo kimaslahi na kisiasa zaidi wapate attention wakati wanatoa misaada.
Hata vyama vya walemavu sasa hawana la kusema baada ya kulamba sukari
Sisi tukimbilie wapi zaidi yenu wadau wa hapa JF, tusaidieni kupaza sauti sisi walemavu tuliopambana kusoma kwa bidii, tunatamani kubeba tofali angalau tupate mkate wa kila siku lakini Hali zetu hazituruhusu.
Tuliamini katika elimu nayo imetusaliti, nchi imetutenga, tuna hari mbaya sana
Mi nimesomea Bachelor of Business Administration in Finance... Ndo hapo napofanyia kazi! Lakn nna uwezo wa kucop na idea mpya ya kazi hata Kama haipo kweny eneo hiloTaja mfano wa kazi unayoimudu
Tusaidieni kupaza saut, kweny ujenzi pia ni muhimu kuzingatia Hilo.. haipendezi mtu kubebwa bebwa,Watanzania wengi hawathamini walemavu.
Kuna mtu kaweka video ya nyumba anayoipenda.
Nyumba mbele ina mingazingazi kibao.
Nikamwambia hapo mbele panatakiwa kuwa na sehemu isiyo na ngazi, iwe na flat slope. Kwa watu wanaotumia wheelchair.
.
Watu hawafikirii hayo.
Rais wa nchi alihoji kwa nini hospitali ya serikali ina lift. Aliona ni anasa.
Hakuelewa kabisa pale ni hospitali wanakuja watu wa kuka aina, wagonjwa, walemavu etc.
Huyo rais, alikuwa na PhD.
Hatujali.
Ni maoni yake, japo si vizuri ku generalize kwa wote! Ibakie kuwa ni character za kibinadamu tuWewe unafikiri mwaka huu unaweza kupitia bila kuwa mlemavu? Mungu na aichukue miguu aliyokupa utembelee makalio.
Najua unajua Hali halisi ya maisha ya kitanzania!! Japo sijawahi kushuhudia Hilo lakn sikumbuki Kama nimewahi kuitwa kikao chochote kwaajili ya hio ajendaTuwaelewe vipi! Mbele ya wanasiasa mnasema mnapewa nafasi sawa na mnashangilia hotuba zao, huku mnafai hampewi fursa sawa na raia wengine! Siku zote mimi husema usijaribu kumtetea mtanzania atakudodoshea zigo.
Kwakwel[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka, sijawahi sema hivyo. Na uzi haukuwa unahusu u pisi.
So sorry,Niende kwenye mada moja kwa moja!!.
Nimekuwa moja ya wahanga wa hili Tatizo kwa muda mrefu sana
Kati ya watu wanaosoma kwa mateso makubwa sana ni watu wenye ulemavu, kuanzia shule za msingi mpaka sekondari, hii inatokana na miundo mbinu mingi kuwa tofauti na Hali zetu watu wenye ulemavu.
Wakati mtu mwenye ulemavu anapambna akiamini kuwa yeye hawez kulima, kutembeza mitumba, Wala kufanya kazi ngumu za ujenzi akitegemea akili yake tu ya darasani angalau impe mwanga wa maisha.
Baada ya ajira huyu mtu mwenye ulemavu anaanza kuzunguka na baiskeli yake au magongo yake kweny interview mbalimbali, wakati mwingine hufanyika mikoani, au kwenye majengo yasiyo na lift.
Wengi wanaishia kukata tamaa sana.
Kuna sehemu niliwahi kataliwa kabisa kisa mimi ni mlemavu kwamba siwezi kufanya hio kazi kwasababu nitakuwa naenda sana hospitali, yaani trip kazini trip hospitali. Wanahisi labda sisi ni wagonjwa fulani hivi,
Inaumiza sana sana, naongea kwa niaba Yao sana.
Wengi walioajiriwa ni sababu za kisiasa, ili ionekane hawabaguliwi hasa kwenye sekta zinazohusiana na walemavu ndio huko wamejazwa!
Nina watu nawajua ni walemavu, wanapitia kipindi kigumu sana lakini wakiwa na elimu Yao kichwani! Yaani huu unyanyapaa huwezi ona kwa jicho la kawaida! Ni dhamira za watu.
Kitanda usicholalia huwezi jua kunguni wake!! We feel pain sana sana
Natimiza mwaka wa saba(7) tangu nimalize digrii yangu ya usimamizi wa fedha..
Serikali haitujali tena, zaidi ya kutulazimisha tukope pesa tuu.
Wadau wapo kimaslahi na kisiasa zaidi wapate attention wakati wanatoa misaada.
Hata vyama vya walemavu sasa hawana la kusema baada ya kulamba sukari
Sisi tukimbilie wapi zaidi yenu wadau wa hapa JF, tusaidieni kupaza sauti sisi walemavu tuliopambana kusoma kwa bidii, tunatamani kubeba tofali angalau tupate mkate wa kila siku lakini Hali zetu hazituruhusu.
Tuliamini katika elimu nayo imetusaliti, nchi imetutenga, tuna hari mbaya sana
Asante sana Doctor ntajaribu piaSo sorry,
Nimetoa Machozi ,Nimelia Kiukweli..
Kuna Hizi Ajira za TRA wametoa Juzi kati hebu jaribu Kuomba Kama Una Degree ya Usimamizi wa Fedha..
Ni kweli kabisa kiongozi, japo natamn na wengine wasaidike pia! Natamn serikali itafute mfumo maalumu wa ku recruit graduate wote weny matatizo ya viungo ili kuwapunguzia ukali wa maisha!!Pole sana mkuu
Pia humu kuna wadau ungeweka profile yako hapa huenda ungeweza kuonekana ukapata fursa
Sina hakika, labda tuone hiz walizotoaTRA Tanzania suala la 3% za walemavu kwenye ajira zenu huwa mnalitekeleza vipi. ?.