- Thread starter
- #141
Hili jambo ni la jamii nzima, sio kwamba sisi ni kikundi Cha watu flani maalumu kilichotengwa hapana!! Sisi wote hapa Tuna ndugu, jamaa na marafiki.. haipendezi wakiwa wamesoma halafu wabaki kuwa tegemezi!!
Hii ni jamii yenu ambayo mnatakiwa mpaze sauti kwaajili yake!! Nna watu nawafahamu wengi wao Wana miaka 5, 7 na mpaka 10 hawajapata ajira ya kabisa tangu wamalize vyuo vikuu na Wanasumbuka kweny Hali zao za kuwa Walemavu.
Wengi wanasema wamefika mpka wizarani wanapohusika na Ajira, vijana na watu wenye ulemavu. Wanaishia kuandikwa majina na kupewa ahadi hewa!
Miaka inapita, umri unaenda, na Hali ya kukata tamaa inatuandama
Hii ni jamii yenu ambayo mnatakiwa mpaze sauti kwaajili yake!! Nna watu nawafahamu wengi wao Wana miaka 5, 7 na mpaka 10 hawajapata ajira ya kabisa tangu wamalize vyuo vikuu na Wanasumbuka kweny Hali zao za kuwa Walemavu.
Wengi wanasema wamefika mpka wizarani wanapohusika na Ajira, vijana na watu wenye ulemavu. Wanaishia kuandikwa majina na kupewa ahadi hewa!
Miaka inapita, umri unaenda, na Hali ya kukata tamaa inatuandama