DOKEZO Hali ni mbaya sana kwa walemavu tuliosoma, Si Serikali wala kampuni binafsi ambazo ziko tayari kutuajiri. Tunabaguliwa

DOKEZO Hali ni mbaya sana kwa walemavu tuliosoma, Si Serikali wala kampuni binafsi ambazo ziko tayari kutuajiri. Tunabaguliwa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Hili jambo ni la jamii nzima, sio kwamba sisi ni kikundi Cha watu flani maalumu kilichotengwa hapana!! Sisi wote hapa Tuna ndugu, jamaa na marafiki.. haipendezi wakiwa wamesoma halafu wabaki kuwa tegemezi!!

Hii ni jamii yenu ambayo mnatakiwa mpaze sauti kwaajili yake!! Nna watu nawafahamu wengi wao Wana miaka 5, 7 na mpaka 10 hawajapata ajira ya kabisa tangu wamalize vyuo vikuu na Wanasumbuka kweny Hali zao za kuwa Walemavu.

Wengi wanasema wamefika mpka wizarani wanapohusika na Ajira, vijana na watu wenye ulemavu. Wanaishia kuandikwa majina na kupewa ahadi hewa!

Miaka inapita, umri unaenda, na Hali ya kukata tamaa inatuandama
 
Hata mtu anaposomea anaangalia kazi ambayo anaimudu kulingana na madhaifu yake!!. . Kwahio wote wanao apply kazi maana ake wanaijua kazi Yao na wameisomea
Taja mfano wa kazi unayoimudu
 
Niende kwenye mada moja kwa moja!!.

Nimekuwa moja ya wahanga wa hili Tatizo kwa muda mrefu sana

Kati ya watu wanaosoma kwa mateso makubwa sana ni watu wenye ulemavu, kuanzia shule za msingi mpaka sekondari, hii inatokana na miundo mbinu mingi kuwa tofauti na Hali zetu watu wenye ulemavu.

Wakati mtu mwenye ulemavu anapambna akiamini kuwa yeye hawez kulima, kutembeza mitumba, Wala kufanya kazi ngumu za ujenzi akitegemea akili yake tu ya darasani angalau impe mwanga wa maisha.

Baada ya ajira huyu mtu mwenye ulemavu anaanza kuzunguka na baiskeli yake au magongo yake kweny interview mbalimbali, wakati mwingine hufanyika mikoani, au kwenye majengo yasiyo na lift.
Wengi wanaishia kukata tamaa sana.

Kuna sehemu niliwahi kataliwa kabisa kisa mimi ni mlemavu kwamba siwezi kufanya hio kazi kwasababu nitakuwa naenda sana hospitali, yaani trip kazini trip hospitali. Wanahisi labda sisi ni wagonjwa fulani hivi,

Inaumiza sana sana, naongea kwa niaba Yao sana.

Wengi walioajiriwa ni sababu za kisiasa, ili ionekane hawabaguliwi hasa kwenye sekta zinazohusiana na walemavu ndio huko wamejazwa!

Nina watu nawajua ni walemavu, wanapitia kipindi kigumu sana lakini wakiwa na elimu Yao kichwani! Yaani huu unyanyapaa huwezi ona kwa jicho la kawaida! Ni dhamira za watu.

Kitanda usicholalia huwezi jua kunguni wake!! We feel pain sana sana

Natimiza mwaka wa saba(7) tangu nimalize digrii yangu ya usimamizi wa fedha..

Serikali haitujali tena, zaidi ya kutulazimisha tukope pesa tuu.

Wadau wapo kimaslahi na kisiasa zaidi wapate attention wakati wanatoa misaada.

Hata vyama vya walemavu sasa hawana la kusema baada ya kulamba sukari

Sisi tukimbilie wapi zaidi yenu wadau wa hapa JF, tusaidieni kupaza sauti sisi walemavu tuliopambana kusoma kwa bidii, tunatamani kubeba tofali angalau tupate mkate wa kila siku lakini Hali zetu hazituruhusu.

Tuliamini katika elimu nayo imetusaliti, nchi imetutenga, tuna hari mbaya sana
Watanzania wengi hawathamini walemavu.

Kuna mtu kaweka video ya nyumba anayoipenda.

Nyumba mbele ina mingazingazi kibao.

Nikamwambia hapo mbele panatakiwa kuwa na sehemu isiyo na ngazi, iwe na flat slope. Kwa watu wanaotumia wheelchair.
.
Watu hawafikirii hayo.

Rais wa nchi alihoji kwa nini hospitali ya serikali ina lift. Aliona ni anasa.

Hakuelewa kabisa pale ni hospitali wanakuja watu wa kuka aina, wagonjwa, walemavu etc.

Huyo rais, alikuwa na PhD.

Hatujali.
 
Pole sana, ila mwenyewe ulisema ni bonge la pisi mpaka Makumbusho walikushangaa so kawaida hiyo!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka, sijawahi sema hivyo. Na uzi haukuwa unahusu u pisi.
 
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
nimecheka, sijawahi sema hivyo. Na uzi haukuwa unahusu u pisi.
Ogopa teknolojia!


emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
kuna mtu aliwahi nambia ukienda makumbusho utajikuta unakodolea macho watu, hiyo siku nkawaka na kusepea hapo maeneo, cha ajabu wao wakawa wananikodolea mie macho, afu cna habariii.


 
Niende kwenye mada moja kwa moja!!.

Nimekuwa moja ya wahanga wa hili Tatizo kwa muda mrefu sana

Kati ya watu wanaosoma kwa mateso makubwa sana ni watu wenye ulemavu, kuanzia shule za msingi mpaka sekondari, hii inatokana na miundo mbinu mingi kuwa tofauti na Hali zetu watu wenye ulemavu.

Wakati mtu mwenye ulemavu anapambna akiamini kuwa yeye hawez kulima, kutembeza mitumba, Wala kufanya kazi ngumu za ujenzi akitegemea akili yake tu ya darasani angalau impe mwanga wa maisha.

Baada ya ajira huyu mtu mwenye ulemavu anaanza kuzunguka na baiskeli yake au magongo yake kweny interview mbalimbali, wakati mwingine hufanyika mikoani, au kwenye majengo yasiyo na lift.
Wengi wanaishia kukata tamaa sana.

Kuna sehemu niliwahi kataliwa kabisa kisa mimi ni mlemavu kwamba siwezi kufanya hio kazi kwasababu nitakuwa naenda sana hospitali, yaani trip kazini trip hospitali. Wanahisi labda sisi ni wagonjwa fulani hivi,

Inaumiza sana sana, naongea kwa niaba Yao sana.

Wengi walioajiriwa ni sababu za kisiasa, ili ionekane hawabaguliwi hasa kwenye sekta zinazohusiana na walemavu ndio huko wamejazwa!

Nina watu nawajua ni walemavu, wanapitia kipindi kigumu sana lakini wakiwa na elimu Yao kichwani! Yaani huu unyanyapaa huwezi ona kwa jicho la kawaida! Ni dhamira za watu.

Kitanda usicholalia huwezi jua kunguni wake!! We feel pain sana sana

Natimiza mwaka wa saba(7) tangu nimalize digrii yangu ya usimamizi wa fedha..

Serikali haitujali tena, zaidi ya kutulazimisha tukope pesa tuu.

Wadau wapo kimaslahi na kisiasa zaidi wapate attention wakati wanatoa misaada.

Hata vyama vya walemavu sasa hawana la kusema baada ya kulamba sukari

Sisi tukimbilie wapi zaidi yenu wadau wa hapa JF, tusaidieni kupaza sauti sisi walemavu tuliopambana kusoma kwa bidii, tunatamani kubeba tofali angalau tupate mkate wa kila siku lakini Hali zetu hazituruhusu.

Tuliamini katika elimu nayo imetusaliti, nchi imetutenga, tuna hari mbaya sana
Tuwaelewe vipi! Mbele ya wanasiasa mnasema mnapewa nafasi sawa na mnashangilia hotuba zao, huku mnafai hampewi fursa sawa na raia wengine! Siku zote mimi husema usijaribu kumtetea mtanzania atakudodoshea zigo.
 
Taja mfano wa kazi unayoimudu
Mi nimesomea Bachelor of Business Administration in Finance... Ndo hapo napofanyia kazi! Lakn nna uwezo wa kucop na idea mpya ya kazi hata Kama haipo kweny eneo hilo
 
Watanzania wengi hawathamini walemavu.

Kuna mtu kaweka video ya nyumba anayoipenda.

Nyumba mbele ina mingazingazi kibao.

Nikamwambia hapo mbele panatakiwa kuwa na sehemu isiyo na ngazi, iwe na flat slope. Kwa watu wanaotumia wheelchair.
.
Watu hawafikirii hayo.

Rais wa nchi alihoji kwa nini hospitali ya serikali ina lift. Aliona ni anasa.

Hakuelewa kabisa pale ni hospitali wanakuja watu wa kuka aina, wagonjwa, walemavu etc.

Huyo rais, alikuwa na PhD.

Hatujali.
Tusaidieni kupaza saut, kweny ujenzi pia ni muhimu kuzingatia Hilo.. haipendezi mtu kubebwa bebwa,
 
Wewe unafikiri mwaka huu unaweza kupitia bila kuwa mlemavu? Mungu na aichukue miguu aliyokupa utembelee makalio.
Ni maoni yake, japo si vizuri ku generalize kwa wote! Ibakie kuwa ni character za kibinadamu tu
 
Tuwaelewe vipi! Mbele ya wanasiasa mnasema mnapewa nafasi sawa na mnashangilia hotuba zao, huku mnafai hampewi fursa sawa na raia wengine! Siku zote mimi husema usijaribu kumtetea mtanzania atakudodoshea zigo.
Najua unajua Hali halisi ya maisha ya kitanzania!! Japo sijawahi kushuhudia Hilo lakn sikumbuki Kama nimewahi kuitwa kikao chochote kwaajili ya hio ajenda
 
Niende kwenye mada moja kwa moja!!.

Nimekuwa moja ya wahanga wa hili Tatizo kwa muda mrefu sana

Kati ya watu wanaosoma kwa mateso makubwa sana ni watu wenye ulemavu, kuanzia shule za msingi mpaka sekondari, hii inatokana na miundo mbinu mingi kuwa tofauti na Hali zetu watu wenye ulemavu.

Wakati mtu mwenye ulemavu anapambna akiamini kuwa yeye hawez kulima, kutembeza mitumba, Wala kufanya kazi ngumu za ujenzi akitegemea akili yake tu ya darasani angalau impe mwanga wa maisha.

Baada ya ajira huyu mtu mwenye ulemavu anaanza kuzunguka na baiskeli yake au magongo yake kweny interview mbalimbali, wakati mwingine hufanyika mikoani, au kwenye majengo yasiyo na lift.
Wengi wanaishia kukata tamaa sana.

Kuna sehemu niliwahi kataliwa kabisa kisa mimi ni mlemavu kwamba siwezi kufanya hio kazi kwasababu nitakuwa naenda sana hospitali, yaani trip kazini trip hospitali. Wanahisi labda sisi ni wagonjwa fulani hivi,

Inaumiza sana sana, naongea kwa niaba Yao sana.

Wengi walioajiriwa ni sababu za kisiasa, ili ionekane hawabaguliwi hasa kwenye sekta zinazohusiana na walemavu ndio huko wamejazwa!

Nina watu nawajua ni walemavu, wanapitia kipindi kigumu sana lakini wakiwa na elimu Yao kichwani! Yaani huu unyanyapaa huwezi ona kwa jicho la kawaida! Ni dhamira za watu.

Kitanda usicholalia huwezi jua kunguni wake!! We feel pain sana sana

Natimiza mwaka wa saba(7) tangu nimalize digrii yangu ya usimamizi wa fedha..

Serikali haitujali tena, zaidi ya kutulazimisha tukope pesa tuu.

Wadau wapo kimaslahi na kisiasa zaidi wapate attention wakati wanatoa misaada.

Hata vyama vya walemavu sasa hawana la kusema baada ya kulamba sukari

Sisi tukimbilie wapi zaidi yenu wadau wa hapa JF, tusaidieni kupaza sauti sisi walemavu tuliopambana kusoma kwa bidii, tunatamani kubeba tofali angalau tupate mkate wa kila siku lakini Hali zetu hazituruhusu.

Tuliamini katika elimu nayo imetusaliti, nchi imetutenga, tuna hari mbaya sana
So sorry,
Nimetoa Machozi ,Nimelia Kiukweli..
Kuna Hizi Ajira za TRA wametoa Juzi kati hebu jaribu Kuomba Kama Una Degree ya Usimamizi wa Fedha..
 

Attachments

Pole sana mkuu
Pia humu kuna wadau ungeweka profile yako hapa huenda ungeweza kuonekana ukapata fursa
 
Pole sana mkuu
Pia humu kuna wadau ungeweka profile yako hapa huenda ungeweza kuonekana ukapata fursa
Ni kweli kabisa kiongozi, japo natamn na wengine wasaidike pia! Natamn serikali itafute mfumo maalumu wa ku recruit graduate wote weny matatizo ya viungo ili kuwapunguzia ukali wa maisha!!

Mtu atakaye hitaji nimpe profile yangu!! ili angalau anikwamue ntakua tayari kumtumia
 
Back
Top Bottom