Hali ni tete Uganda, Corona yashika kasi tena kupelekea shule kufungwa. Rais Samia Hassan aharakishe chanjo

TheDreamer Thebeliever

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2018
Posts
2,490
Reaction score
3,584
Habari wadau..!
Taarifa zinasema hali ya uviko 19 nchini Uganda imezidi kushika kasi kwa siku wanareport wagonjwa 500.

Shule zimeanza kufungwa tena vifo vimeongezeka maradufu katika hii phase ya pili ya Corona nchini Uganda.

Kwa niaba ya watanzania wazalendo naomba mheshimiwa rais Samia Hassan harakishe mchakato wa upatikanaji wa chanjo kabla ya hiyo phase 3 pia ni bora tukaanza kutoa repoti ya mwenendo wa uviko 19 maana tahadhari zinapuuziwa sana kwa sasa.
Your browser is not able to display this video.
 
Acheni kutuletea mipaniki ya ajabu, nyinyi ndiyo huwa sababu ya kuuwa watu kwa pressure. Leave this issue take its natural course, mtakufa bure ni mipressure yenu.
We have been fed up with this nonsense called corona, God is with this national, better keep quite, usiwatishe watu.
 
Kwanini namba imepanda ghafla baada ya chanjo?
Akili kumkichwa, ndo maana nilisema serikali wasiitishe kampeni yoyote ya hizi chanjo wazitoe tu kwa wanaozihitaji, unaweza kujikuta badala ya kutoa chanjo unatoa infective dose ya virusi venyewe live, sasa ukichoma kwa watu wengi inakuwa rahisi huo mlipuko kukamata na kwenda juu, unapata situation kama ya India na kule America....
 
Kweli.
Uganda walikuwa na namba ndogo Sana za Corona.
Lakini Kwa hii idadi ya muda mfupi.wagonjwa 900+
Sio Jambo dogo.kuna nini hapo?
Na wale wazee wa kulilia chanjo hauwezi kuwaona hapa.
 
We waache wakurupuke mkuu. You never know what's inside, ndugu yangu. Better say no to this trap, utakwenda na maji mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…