Ila walinyooka kwa big brain, JPM. Akili za kuambiwa, changanya nazako
Paralysed Big brain?? PBB" sawa watamuita hivo!! ndo mmeamua kumbatiza jina hilo? CCM akili zao Bana!! km mitahaira!! COVID Iliamua kuanza nae duuu!! Sasa kakomesha Madaktari na wauguzi Mashujaa wa tiba eti ni hewa!! jamani sasa yeye kawa hewa zaidi!!!
Suala la kutibia ni la moyo wa huruma zaidi ya sana, siyo kitu cha masihara!! angalia sasa afya mbovu imemuondoa labda wale alo watumbua wangeokoa maisha yake, basi walipe stahiki zao wamelitumikia taifa kwa kuwekwa na Mamlaka husika hakuna!! heee!!
Hela zao za mafao alizo wazurumu akajengea uwanja wa ndege wa chato!! hicho kiwanja watakaa popo! na malisho mazuri ya mifugo! mjifunzege Dhuruma hailipi, huyu atasahaulika milele!!
Jiwe akikumbukwa Duniani ni kwa mabaya tu! kama anavokukmbukwa Herode, kwa mabaya yake, alivotaka kuua mbegu ya ushindi watu wajifunzege! lkn ajili ya kiburi cha uzima hawataki!!
Bora basi angechaguliwa kihalali , But Kaiba kura na kina Ole Sabaya, hivi mwizi ni mtu kweli?? piga wapinzani bakora, Funga hovyo watu wema! akizani ataishi milele, awamu kaiacha mbichiiii,
Wasaidizi wake kina Makonda kuua hovyo, kina Anzoli Gwanda. Makonda mjanja anasubiria kutubu sasa hivi hukoo SOUTH. na wewe umo tubu!! kenge weee!!
Dhambi ya Dhuruma haimuachagi mtu salama, fanya ufanyavyo!! kwa kudhirisha hili jiwe alikuwa mtu wa kwenda kanisani sana, na kumtaja Mungu bure kila mara, lkn pamoja na hayo yooote hakukumbuka kutubu!! kwa dhambi anazo zijua na asizo zijua!!
Wooote TZnians tulio Diaspora, tuna Bahati moja kubwa sana, kwa COVID hii nakuhakikishieni ndo haturidi kabisaaaa huko porini!! Mtakoma nao, na number mtaisoma haswaaaa!! Mkae na mizigo yenu!!!