Hali ni tete Uganda, Corona yashika kasi tena kupelekea shule kufungwa. Rais Samia Hassan aharakishe chanjo

Nataka wimbi la tatu likija liondoke na Ndugu-wayi.
 
Aisee
Ukiwa unabishana na mjinga unatakiwa uwe mpole ili umuelimishe
Mtu kama anaamini maombi yalishinda Covid au chanjo ndio inaleta Covid.......
Ndio maana mpaka leo kuna magonjwa ya milipuko kama kipundupindu, sababu inahitaji mjinga mmoja tu na uchafu wake asambaze mkoa mzima.....
 
Kuna tofauti gani na kuto chanjwa?
Bila kuchanjwa unakosa kinga ya kitabibu kwa % zote, ukichanjwa unapata kinga ya kitabibu kwa 70% au zaidi.
Hizo % zinazobaki baada ya kuchanjwa zitachangiwa na jinsi unavyoishi kwa kuchukua tahadhari dhidi ya covid 19.

Fact iko ivo.
 
Chanjo inasaidia kueneza Korona ili:-

1) Kutekeleza agenda ya ku depopulation ya dunia kwa tumekuwa wengi (Agenda ya watengezaji chanjo)

2) Waafrica kuondoka duniani ili kuacha bara wazi kwa makazi ya watengeneza corona na chanjo.

3) Pia inaeneza ukimwi kwa misingi hiyo hiyo (Watu wanaochanjwa kinga inapungua na wanaanza kupata magonjwa nyemerezi kwa wingi)

4) Kutengneza soko la kuuzia madawa ya viwanda vya wapika korona na chanjo.

Ninachoomba, wale wanaopigania kuliingiza taifa letu kwenye Korona endelevu, madhara ya chanjo yawapate wao peke yao.








God, May you Protect innocent poor Tanzanians.
 
Bila kuchanjwa unakosa kinga ya kitabibu kwa % zote, ukichanjwa unapata kinga ya kitabibu kwa 70% au zaidi.
Hizo % zinazobaki baada ya kuchanjwa zitachangiwa na jinsi unavyoishi kwa kuchukua tahadhari dhidi ya covid 19.

Fact ik
Ondoa ujinga wako hapa. Kusoma hujui hujui hata picha huoni?


 
Ondoa ujinga wako hapa. Kusoma hujui hujui hata picha huoni?


Kutukana hakuhalalishi uongo.
Mimi nimeongea na wataalam wenyewe kwenye taasisi za afya za kueleweka ndugu yangu.
Acha viclip vya kihuni hivi ambavyo wahuni wanajirecord.
 
Kabla ya chanjo Uganda ndo alikuwa ana wagonjwa wachache Sana wa Corona.
Baada ya chanjo namba IMEPAA.
Tatizo nini?
Kutukana hakuhalalishi uongo.
Mimi nimeongea na wataalam wenyewe kwenye taasisi za afya za kueleweka ndugu yangu.
Acha viclip vya kihuni hivi ambavyo wahuni wanajirecord.
 
Kabla ya chanjo Uganda ndo alikuwa ana wagonjwa wachache Sana wa Corona.
Baada ya chanjo namba IMEPAA.
Tatizo nini?
Chanjo nyingi zinakinga 70% na kuendelea, sasa watu kwa kuchoka kuvaa barakoa na kujilimit kuhusu kukutana,, wakichanjwa hudharau yote haya na kujiachia(hili ndo tatizo)
Wanasahau kuwa bado uwezekano wa 30% kuambukizwa.


Nadhani ipo ipo logical
 
Chanjo zilizopelekwa Uganda 864,000 Waganda wapo 47,069,000 .Na ukichanjwa sio kwamba ndio unajiachia achia kizembe unabidi uchukue taadhali.

Kwa mawazo ya mamburula ni kuwa waganda wote walisha chanjwa na Corona ndiyo inapamba moto πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚!

Kweli hii dunia imejaa machizi tofauti ni degree.
 
Mmetukana Mabeberu weeee!!!! Mfu Jiwe liliwaponza, na Jiwe alisha kuwa Mfu miaka Miwili nyuma!!! mtu halisi huwezi kufanya ule ujinga, Mananbii wenye Karama walilijua hilo, lkn kwa tabia za kibongo bongo mkawadharaua sasa Mtakoma, Labda tu niwaaambie na Bado sana kijacho COVID ita shambulia vizalio vyenu .

Mwenye akili na asikie!! Watanzania Mnapenda sana papuchi, safari hiii COVID ina anza kamata papuchi zenu!! subirini tu!! tuwape majibu!! ''Usitukane wakunga na Uzazi ungalipo''



Tanzania ni nchi ya kwanza Duniani kuongozwa na Mahiti!!! tena ikawashikisha adabu kweli!! Na mlivo na mikosi hamkujua kabisaaaa!! isipokuwa Nabii mmoja tu!! na yuko humu!

Gwajima hakuna kitu yule kwa nini hakugundua kiroho kuwa Msukuma mwenzake alisha kufa kitamboo!! amrudishe?? haya basi amekufa mfufue!! hataki ! hili jamaa lichapwe viboko kwa Ulaghai!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…