Sio uongo, huu mwaka wanafunzi wengi hawataenda chuoni,Mimi namshukuru mungu ndugu yangu nilipata batch one. Lakini hali bado si shwari kwangu pamoja na rafiki zangu wanaonizunguka wengi wao wamekata tamaa ya kwenda chuo mwaka huu
Huwenda huu ndio ukawa mwaka ambao wanafunzi wengi hawataripoti chuoni
MUNGU ATUSIMAMIE TUSIKATE TAMAA
usicheke boss, hawa vijana mambo ni magumu wapazieni sauti[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekas had bas.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zinauma kwa kuchekaa, wallahSasa wanaleta message hii: Applicant's profile is not seen.
Ina maana gani hii, watu wa ajabu sana
Inasikitisha sanaSio uongo, huu mwaka wanafunzi wengi hawataenda chuoni,
Nawaona wengi tyuuh mtaani, wakati muda was kuripoti ndo huu.
Mtaniua humu[emoji1787][emoji1787]Sasa wanaleta message hii: Applicant's profile is not seen.
Ina maana gani hii, watu wa ajabu sana
Tatizo sio kupaza sauti, tatizo ni mfumo wa uendeshaji ktk bodi husika,usicheke boss, hawa vijana mambo ni magumu wapazieni sauti
Wabadikishie wapi tena ndo wame ibold vzuriWamebadilisha iyo wait for allocation ingia kwenye account yako
Hongera mwayaHatimae [emoji4]View attachment 2795629
Yako majibu umepata now?Hatimae [emoji4]View attachment 2795629
Wamekuletea muda huu?Hatimae [emoji4]View attachment 2795629
mimi nakumbuka media zilitufuata kutuhoji pale ofisi za bodi mwenge mpakani. kina Abdul nondo wakaja wakapaza sauti sana later on president magufuli akasema hela yake aliyo itenga kwa wanafunzi haijaisha aiseeh bodi ya mikopo wakatoa batch fasta tena yenye hela nyingiTatizo sio kupaza sauti, tatizo ni mfumo wa uendeshaji ktk bodo husika,
Kila mwaka tatizo ni lile lile linajirudia khaaah.
Mwenetu umetukataa [emoji28] hongera kijanaHatimae [emoji4]View attachment 2795629
HongeraHatimae [emoji4]View attachment 2795629
Ni kweli mkuu Hila Nako huko udiplomani atujui wataigawaje hiyo national cake uenda Nako kukawa na masononeko kaya haya au zaidi hata ya hayaPole kwao!
Nadhani muda umefika sasa vijana wakimbilie vyuo vya kati ili wapate skills na kujiajiri!
Nadhani pia serikali imesaidia kupatikana kwa mikopo kwa diploma ambapo ada zao ni nafuu kuliko shahada,waliopata asilimia chache za mkopo wakasome diploma yenye tija kuliko kung'ang'ania shahada ambayo ni ngumu kupata ajira huko mbeleni!!
Wawape wote ata pesa za chakula tu vijana waende mavyuoni nchi hii inamatrion ya pesa wajanja wachache wanazing'ang'ania wakati hata wakifa atuwaziki nazo ni roho mbaya tukachungulieni account zenu, wanaweka
HAPANA, THIS IS VERY SERIOUS1Mtaniua humu[emoji1787][emoji1787]