Hali si shwari kati ya Hussein Mwinyi na Othman Masoud. Hawaelewani kuhusu suala la Muungano

Hali si shwari kati ya Hussein Mwinyi na Othman Masoud. Hawaelewani kuhusu suala la Muungano

Kwa hiyo unafikiri US military aid ndiyo imeinua uchumi wa Israel? Unajua tofauti ya military aid vs economic aid? Halafu hayo mafuta yanachimbwa wapi? Au unazungumzia gesi ambayo wameanza kuchimba siku za karibuni tuu? Na kabla hawajaanza kuchimba hiyo gesi uchumi wao ulikuwa mkubwa tayari.

Siri ya maendeleo yao ni Wayahudi wa diaspora (diaspora jews). Wako diaspora matajiri hao akina Abromovich, wako wenye uchumi wa kati (madaktari, ma engineers, mawakili, n.k), wako maskini lakini asilimia yao kubwa wanaisapoti Israel. Zanzibar ina diaspora kubwa sana, kuna matajiri, kuna wenye uchumi wa kati, kuna wenye uchumi wa chini na wote Zanzibar ikipata mamlaka kamili, diaspora wataisaidia kiuchumi. Kwa sababu wote ni Zanzibar nation. Nyie machogo mtabaki kuyaonea wivu maendeleo ya Zanzibar na kuleta uhasama. Uhasama na wivu kama ule alioujenga Nyerere dhidi ya Kenya baada ya Kenyatta kuukata Muungano wa Kenya na Tanzania na kuiona Kenya inaendelea kiuchumi wakati Tanzania inakwama.
D8A10B96-DE2A-4D14-B62F-696D660EA6DE.jpeg


Hiyo ni $10 billion from FDI alone injected kwenye uchumi mwaka mmoja tu; na kila mwaka investment inaongezeka ndio maana nikakwambia Israel is not short of investors wa kuchochea uchumi wao.

Kwenye kusoma cha Gas kutoka baharini kuna mafuta pia kama hujui.

Ni hivi tafuta mfano mwingine Israel military aipewe silaha na USA tu ata U.K. hela ambazo awatoi wao, settlers wanaorudi Israel nyumba wanazojengewa zinatoka nje, ni hivi uwezi kujiweka sawa na Israël.
 
Kwa mifumo yetu huyu OMO nadhani siku zake zinahesabika kwenye hicho kiti. Lakini kingine usikute OMO wametofautiana na Mwinyi kwenye cake ya Zanzibar, usikute OMO kalazimisha jambo mwenzake kagoma basi kaamua atoke kivyake. Lingine ukimuangalia OMO shavu limejaa mno halafu anatafuta umaarufu ili watu waje wafe, sijui atafaidika nini.

..wenye silaha zinazoua watu ni Ccm na vyombo vyao.

..sielewi kwanini unamshuku OMO kuwa atasababisha vifo wakati unajua wanaoua ni Ccm na vyombo vyao.
 
View attachment 2281975

Hiyo ni $10 billion from FDI alone injected kwenye uchumi mwaka mmoja tu; na kila mwaka investment inaongezeka ndio maana nikakwambia Israel is not short of investors wa kuchochea uchumi wao.

Kwenye kusoma cha Gas kutoka baharini kuna mafuta pia kama hujui.

Ni hivi tafuta mfano mwingine Israel military aipewe silaha na USA tu ata U.K. hela ambazo awatoi wao, settlers wanaorudi Israel nyumba wanazojengewa zinatoka nje, ni hivi uwezi kujiweka sawa na Israël.

Zanzibar diaspora wakichangia hata asilimia 10% tuu ya mchango wa Wayahudi wa diaspora kwa Israel, Zanzibar itaendelea. Ndiyo unavyoshindwa kuelewa. Hata nisipotumia mfano wa Israel, nikitumia wa Kenya utaona sera mbovu ndiyo zinakwamisha Tanzania.

Kenya na Tanzania zote zilikuwa nchi moja British East Africa. Baada ya uhuru Nyerere alijenga ujamaa wake, Kenyatta akafanya kivyake. Na Kenya iliipiga ovateki Tanzania kiuchumi zamani sana pamoja na kwamba Tanzania ni kubwa na ina rasilimali kuizidi Kenya. Sasa subiri uone ka nchi kadogo Rwanda kanaipiga tena ovateki Tanzania. utashangaa.

Free Zanzibar
 
Niliona kwenye Royal tour stock ya meno ya tembo ipo Zenji kwanini?
Huo ndio muingiliano wa kihistoria unaohesabiwa kama faida za Muungano:: meno ya tembo yaliyokamatwa Tanganyika yanatunzwa Zanzibar.

Wanalazimisha muungano. Hawawezi kutaja faida hata moja inayopata Tanganyika kutoka Zanzibar.
 
Kama Othman Masoud hataki Muungano, na wewe pia huujali Muungano, why are you hyperventilating and attacking and disparaging him?

Othman hataki Muungano, wewe huuungi mkono Muungano, na mimi siutaki Muungano,
na ma milioni ya Wazanzibari na Watanganyika HATUTAKI MUUNGANO, kwa nn mtulazimishe, tatizo liko wapiiiiiii ?
“Kama Othman Masoud hataki Muungano, na wewe pia huujali Muungano, why are you hyperventilating and attacking and disparaging him?”

Wouldn’t that question apply to you also, and all other contributors who are separatist. If by contrasting his lies translate into personal attack.

Kama umesoma hoja zangu utaona shida yangu ni kukwera na manu’nguniko ya wazanzibari more so na huyo Othman na uongo wake wa bara kuonea Zanzibar na kuikandimiza kama nchi, icho ndio nijaribu kuonyesha na si attack kwake yeye.

Kama ataki muungano ni sawa tu but aweke fair arguments.
 
Hamjamwelewa!
Masoud ni speaker tu ya wasemaji FULANI!
Kwakuwa hoja ya katiba Mpya imeshakolezwa ndani ya CHAMA Basi Bunge litaongea nje kabla ya kuundwa!!
TUSUBIRI
 
Zanzibar diaspora wakichangia hata asilimia 10% tuu ya mchango wa Wayahudi wa diaspora kwa Israel, Zanzibar itaendelea. Ndiyo unavyoshindwa kuelewa. Hata nisipotumia mfano wa Israel, nikitumia wa Kenya utaona sera mbovu ndiyo zinakwamisha Tanzania.

Kenya na Tanzania zote zilikuwa nchi moja British East Africa. Baada ya uhuru Nyerere alijenga ujamaa wake, Kenyatta akafanya kivyake. Na Kenya iliipiga ovateki Tanzania kiuchumi zamani sana pamoja na kwamba Tanzania ni kubwa na ina rasilimali kuizidi Kenya. Sasa subiri uone ka nchi kadogo Rwanda kanaipiga tena ovateki Tanzania. utashangaa.

Free Zanzibar
Waisrael hao wanaotoa harambee ni kwenye ujenzi wa nyumba za wahamiaji wapya na miradi ya jamii; hiyo ni sadaka tu.

Vigogo wana peleka capital ambazo zinatengeneza ajira mwaka wa jana ni $10 billion.

Zanzibar uwekezaji wa $30m watu wanafukuzwa visiwani apewe mgeni; huyo mzanzibari diaspora unaemjua wewe anaeweza kuwekeza $2 million tu embu mtaje.

Get real
 
Waisrael hao wanaotoa harambee ni kwenye ujenzi wa nyumba za wahamiaji wapya na miradi ya jamii; hiyo ni sadaka tu.

Vigogo wana peleka capital ambazo zinatengeneza ajira mwaka wa jana ni $10 billion.

Zanzibar uwekezaji wa $30m watu wanafukuzwa visiwani apewe mgeni; huyo mzanzibari diaspora unaemjua wewe anaeweza kuwekeza $2 million tu embu mtaje.

Get real

Bakhressa ni mfano mmoja wa Zanzibar diaspora. Tatizo lako hujui uchumi, unaongea tuu unachoamini halafu unachanganya na siasa. Ungejua uchumi ungejua potential ya Zanzibar diaspora.
 
..Othman Masoud anamuona Hussein Mwinyi kama mateka asiyeweza kuitetea Zanzibar, hadhi, maslahi, na haki zake.

..Hussein Mwinyi anamuona Othman Masoud kama mchochezi asiyetaka Wazanzibar wawe kitu kimoja.

Msikilize Othman Masoud hapa chini.
View attachment 2280710


Hussein Mwinyi amejibu hapa.

View attachment 2280711

Mwinyi is a wiseman. Yule kenge wa ACT ni separatist sugu ambaye haifai Zanzibar kwa lolote lile!
 
Huo ndio muingiliano wa kihistoria unaohesabiwa kama faida za Muungano:: meno ya tembo yaliyokamatwa Tanganyika yanatunzwa Zanzibar.

Wanalazimisha muungano. Hawawezi kutaja faida hata moja inayopata Tanganyika kutoka Zanzibar.
Warudishe meno ya ndovu wetu, na muungano hauna maana yoyote kwa sisi watanganyika ujue.
 
Mwinyi is a wiseman. Yule kenge wa ACT ni separatist sugu ambaye haifai Zanzibar kwa lolote lile!

..Mwinyi angekuwa wise asingekubali chama chake na vyombo vyake kuuwa Waznz na kuharibu uchaguzi ili yeye apate madaraka.

..Othman Masoud anajiamini kwasababu ana rekodi ya kusimamia maslahi ya Waznz. Pia mambo anayoyazungumza yanaungwa mkono na Waznz.
 
Bakhressa ni mfano mmoja wa Zanzibar diaspora. Tatizo lako hujui uchumi, unaongea tuu unachoamini halafu unachanganya na siasa. Ungejua uchumi ungejua potential ya Zanzibar diaspora.

Tupe mfano wa Mzanzibari yeyote aliyezuiliwa kushiriki katika ujenzi wa Zanzibar!
 
Kwa sasa lipo wazi chunguza ata mada zingine za maswala ya muungano JF contributors wengi msimamo wao awauelewi tena huu muungano.

Ni watu wachache sana wenye nguvu ya kuutetea muungano bara kutoka moyoni.

Kikubwa kinachowachosha wa bara ni hizi tabia zao za choyo ‘chetu chao; na chao ni chao’.

Hao ACT wazalendo upande wa bara ata aileweki agenda yao nini tena, baada ya kuwakabidhi CUF ya Maalim Seif chama na wenyewe wanaenda na mdundo wao tu.

Huu Muungano hautofautiani sana na ndoa ya mke mmoja, mume mmoja. Kwenye ndoa zilizo nyingi, hakuna fairness. Kwa mfano, mara nyingi sana, hela ya mke ni ya mke, lakini hela ya mume ni hela ya familia. This is a harsh reality all husbands have to contend with. Ukiamua kupigania fairness, hiyo ndoa itavunjika. Unfortunately, hata ndoa inayofuata nayo itavunjika usipobadilika.
 
Mnatakaa waijenge Zanzibar ili mje kupora tena na kuifilisi tena? Watu siyo wajinga kama unavyofikiria wewe.

Mali gani za Zanzibar zimewahi kuporwa na Watanganyika? Huyo Bakhressa unayemtolea mfano kuwa ni Mzanzibari, angelowea bara kama Watanganyika wangekuwa waporaji?
 
Hujui kwamba ulimi ukitumika vibaya ni sawa na weapon of mass destruction?

..Act hawana means za kufanya mass destruction.

..Mauaji ya kimbari ya Watutsi na Wayahudi yalifanywa na vijana wa vyama tawala vya Rwanda na Ujerumani.

..Wanaoweza kufanya unyama na ukatili wa kiwango cha mass destruction ni Ccm kwani vyama tawala kihistoria ndio vimewahi kufanya hivyo.

..Kwa msingi huo, tuwe macho na Ccm kwani dalili wanazoonyesha sio nzuri.
 
Safari hii Ccm wamepatikana

ila kauli kama hizi haziwezi kuitisha ccm kamwe, maana Ccm ni dude kubwa mno kwa OMO kulimudu.
Nguruvi3 Pascal Mayalla Tindo
Kilatha Kalamu

..Maalim Seif alipofariki Ccm walidhani mrithi wake hatakuwa mtu imara.

..kuna wasomi wachache sana wanaoifahamu Znz kwa undani kama anavyoifahamu Othman Masoud.

..Hussein yeye ni mgeni ktk siasa za Znz hivyo hawezi kusimama hoja kwa hoja dhidi ya Othman.

..Sio kwamba Hussein hataki kujibu kama alivyodai. Ukweli ni kwamba hana majibu ya hoja anazoibua Othman Masoud.
 
Back
Top Bottom