Ni ujinga wa kisiasa kuvizia Ccm wafarakane ili Chadema ishinde kawe.
Ni wazo tu nimetoa. Kama unadhani nimekufokea, samahani.'Usinifokee' tafadhali!
Mzee wa jalalaniKatibu Mkuu wa CCM Ndg Bashiru Ally Kakurwa amekemea vikali tabia za baadhi ya wanachama wa CCM wanaopanga kukisaliti Chama katika kipindi hiki cha Uchaguzi Mkuu kwa maslahi yao binafsi. Ameahidi kuwachukulia hatua kali watakaobainika kusaliti Chama ikiwemo kuwafukuza Uanachama.
Ni wazo tu nimetoa. Kama unadhani nimekufokea, samahani.
Wako kwenye fuso wanarudi toka kigoma,ukiwaona hawana tofauti na nguruwe yani wamejaa vumbi mpka kwenye kope
Ni kweli kabisa itakuwa KANU, kwa sasa hawawezi kuelewa has a wale wakubwa lakini siku na saa inakujaHali hii ikiendelea Hadi 2025 CCM itakuwa KANU
Muuza ndizi huyo, hana lolote.Mzee wa jalalani
Hahahaaaa...... Siasa ni sayansi bwashee!Nina wasiwasi na johnthebaptist asubuhi yuko CCM usiku yuko CDM hawa ndio waliokuwa wakizungumziwa na Mwenyekiti huko Kigoma.
Bashiru amerudisha lini kadi ya Cuf?
Mzee wa jalalani
Labda amuite Odinga, Kenyatta amekulia ikulu siyo mshamba.Hali Imetulizwa Na Rais Wa Jamhuri Ya Burundi
Tukifika Mkoa Wa Mtwara Tutamuita Rais Wa Mozambique
Nako Tanga Tutamuita Rais Kenyata Tuyamalize