gimmy's
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 3,312
- 3,345
Mwenyekiti amevuruga sana mambo hakuna idara iliosalama,wakulima,wafanyakazi,wafanyabiashara,wahitimu wa vyuo wote malalamiko.Ndani ya chama nako matatizo matupu.
Katika kipindi ukabila umeshika kasi basi awamu ya tano ni kufuru,huku masanja kadogosa kule ngosha basi tu ilimradi shida tupu.
Eti hospitali kubwa ya kanda kujengwa Chato labda ijengwe kabla ya tar 28.
Huko mabarabarani kila mahali vizuizi maderava ambao walikua wakikuta kamzigo kadogo kanawapa chochote kitu wameambulia za uso kwenye vizuizi vya TRA.Hakuna dereva wa lorry atapigia kura kijani subirini muone haya manyanyaso mwisho tar 28
Katika kipindi ukabila umeshika kasi basi awamu ya tano ni kufuru,huku masanja kadogosa kule ngosha basi tu ilimradi shida tupu.
Eti hospitali kubwa ya kanda kujengwa Chato labda ijengwe kabla ya tar 28.
Huko mabarabarani kila mahali vizuizi maderava ambao walikua wakikuta kamzigo kadogo kanawapa chochote kitu wameambulia za uso kwenye vizuizi vya TRA.Hakuna dereva wa lorry atapigia kura kijani subirini muone haya manyanyaso mwisho tar 28