Joyce joyce
JF-Expert Member
- May 23, 2020
- 457
- 1,973
No wanakera mno, wanauzi mno, wao walijiita ni Ccm Mpya, walitudharau na kutunyanyasa, tuliumia Sana Mwaka 2015 kumuweka magufuli madarakani ushindi ule ulituumiza matokeo yake amekuwa akitunanyanyasa kabisaaa na uteuzi wote kaufanya yeye, hukusikia alipokuwa Singida alisema kuwa yeye ndie aliemuweka mkumbo Ubungo? Inamaaana Ubungo hakukuwa na watu Wa Ccm? Wanauzi bhana heli aondoke tuanze upyaUmeandika kwa hisia sana pole sana
No wanakera mno, wanauzi mno, wao walijiita ni Ccm Mpya, walitudharau na kutunyanyasa, tuliumia Sana Mwaka 2015 kumuweka magufuli madarakani ushindi ule ulituumiza matokeo yake amekuwa akitunanyanyasa kabisaaa na uteuzi wote kaufanya yeye, hukusikia alipokuwa Singida alisema kuwa yeye ndie aliemuweka mkumbo Ubungo? Inamaaana Ubungo hakukuwa na watu Wa Ccm? Wanauzi bhana heli aondoke tuanze upya
Ni undumbilakuwili mwanzo mwishoo...hahahaha siasa mchana unanawa mikono mbele usiku unanawa mikono nyuma...Wakuu, Katibu Mkuu wa Ccm ametishia kuwafukuza wanaccm ambao wamepanga kumpa kura tundu lisu na kufikia mahali Ya kusema kuwa, watafukuzwa na watataifishwa Mali zao.
Unajua watu wanafanya mzaha na siasa za kutisha na kutumia manguvu pasipo ueredi na mwisho kutatokea anguko kubwa lisilotegemewa, siasa inataka akiri sio nguvu, Katibu badala Ya kutumia maneno Ya busara anatishia watu kuwa atawafukuza huku akijua kuwa kupiga kura ni Siri ya mtu mmoja, hupaswi kutisha watu kisa watapiga kura Kwa mtu mwingne huku ukijua kuwa kura ni Siri, Katibu alipaswa kutafuta sababu Kuu Ya wanaccm kupanga kupiga kura upinxani
Nimeshukuru Sana Ccm kugundua kuwa watu wamepanga kupiga kura Kwa upinzani nikiwemo Mimi Mwana Ccm Kada na kuna watu nawajua zaid ya Mia watapiga kura upinzani, Katibu ameshindwa kutambua kuwa kuweka haya hadharani ameshtua wengne waliokuwa wakinyanyaswa na Mwenyekiti kujiunga kwenye huo msafara
Naomba kumuuliza Katibu kuwa Mwenyekiti Alikuwa anachukua wapinzani anawapa vyeo anatuacha sisi miaka Yote, anawachukua anawapa nafasi za kugombea ubunge huku sisi akikataza katakata hata kuwapinga Leo hiii anatutisha? Haingiii akirini Mimi na watu Wangu tulihangaishwa na upinzani Mwaka 2015 had tukafanikiwa kumweeka madarakani halafau akatudharau kusema kuwa yeye ni Ccm Mpya akatutenga Halafu tuingie kwenye sanduku la kura tumpigie haiwezekani, tutapiga kura Kwa wingi Sana Kwa upinzani liwalo liwe hata atutishie afanye anachofanya sisi tutaonesha hasira zetu kwenye sanduku
Tulikuwa kwenye kikao, anatutisha tisha, potelea mbali tutapiga kura Kwa hasira atajua hajuiAlitishia wapi ?
Atajuaje kuwa kura umepigia nani?
Kura mwaka huu haitakuwa ya siri?
Atufukuze wote Ila wale wanaotulaumu kila siku wapate nafasi ya kurekebisha tunapokosea ili kudumisha amani nautengamano wa kitaifa, kwa kurekebisha dosari zinazo tuweka hapa tulipofika leo.Wakuu, Katibu Mkuu wa Ccm ametishia kuwafukuza wanaccm ambao wamepanga kumpa kura tundu lisu na kufikia mahali Ya kusema kuwa, watafukuzwa na watataifishwa Mali zao...
Sisi tunaita siasa ni science,hiyo ndio maana yake.Bashiru usifokee wanachama wako, ng'amua kwanza chanzo cha uasi ndani ya chama chako. Siasa ni akili sio miguvu na vitisho
Kishindo cha Tundu Lissu kinaleta tetemeko kwenye kona zote za LumumbaUmeandika kwa hisia sana pole sana
Ndio maakina nani Dada Mkuu?Mahanisi bwana
Ila pia ushauri wa bure waliomshauri m.kiti vibaya wajitokeze wenyewe bila kutafutwa.Bashiru aongee na mwenyekiti wake awe na adabu kwa wanachama na wananchi waliomchagua; hakujifanya yeye kuwa mwenyekiti/rais
Wewe Cicadulina mbila unataka kuchomoa oxygen kwa mgonjwa. Watakulaani mbaya [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].“Mwambie Bashiru asitutishe! Nani aliwaambia wafanye ubabe na kutuona wanaCCM ni wajinga? Inakuwaje tunachagua watu wanawakata? Inakuwaje wanachapisha fomu moja ya uraisi na kuzuia watu wasigombee uraisi?” -Wana-CCM
Haliwezi kufa kirahis rahis. Lazima wananchi wagangamale kulipiga kichwani hadi life kabisaaaaaHivi lichama kwanini lisife