Inawezekana "wanasiasa" kuwa wamewekwa pembeni na nafasi zao kujazwa na "wasomi" kukakigharimu chama hicho.Bashiru aongee na mwenyekiti wake awe na adabu kwa wanachama na wananchi waliomchagua; hakujifanya yeye kuwa mwenyekiti/rais
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana "wanasiasa" kuwa wamewekwa pembeni na nafasi zao kujazwa na "wasomi" kukakigharimu chama hicho.Bashiru aongee na mwenyekiti wake awe na adabu kwa wanachama na wananchi waliomchagua; hakujifanya yeye kuwa mwenyekiti/rais
Ujumbe mwanana“Mwambie Bashiru asitutishe! Nani aliwaambia wafanye ubabe na kutuona wanaCCM ni wajinga? Inakuwaje tunachagua watu wanawakata? Inakuwaje wanachapisha fomu moja ya uraisi na kuzuia watu wasigombee uraisi?” -Wana-CCM
Kwasababu hawatashinda, ndio chama chao kitasambaratika chote. Ndio utajua waTanzania walikuwa wanavumilia tu na uvumilivu unao mwisho wake.Nimesoma mahali Bashiru kawa mkaki, anasema watawashughulikia wasaliti wote baada ya uchaguzi, yani hawa jamaa wanawaona wanachama wa CCM ni kama mbuzi tu, wawekee majani hapo watakula, wanasahau wale ni wanadamu wana utashi wao na maamuzi yao, ubabe wa kina Bashiru lazima utawa-cost dearly kwenye sanduku la kura.
Vyama vyote vinawasomi ila hawa wa CCM wamevamia faniInawezekana "wanasiasa" kuwa wamewekwa pembeni na nafasi zao kujazwa na "wasomi" kukakigharimu chama hicho.
Ulishasikia wakatoliki wangapi wamekufa kwa kuichagua Democrat.Pamoja na yote hayo.kwa sasa ni nchi halafu chama. Tunaweza kukubali wagombea ubunge "waliobebwa" wajibebe wenyewe mbele ya wananchi lakini kwenye uraisi ni hatari sana kufanya usaliti...
Mkatoliki anayeshabikia utoaji wa mimba na akashindwa kupinga hadharani anakufuru na ana hatari ya kupoteza roho yake. Na hatakiwi kupokea ekaristi. Hapo sikusema kufa ila maana ya kupoteza roho yake.Ulishasikia wakatoliki wangapi wamekufa kwa kuichagua Democrat.
Minguvu sometimes huwa hailipi.inatakiwa kuheshimu maamuzi ya wanachama,wanajua walikokitoa chama.by the way mbona kama ni hao hao wanajirudia rudia kuleta utovu wa nidhamu.Halafu wataenda kulia lia kuomba msamahaKifo cha Benjamin mkapa ni pengo kubwa sana kwa CCM
"Based solely on the party platform, no Catholic may vote for any Democrat without danger to their immortal soul" Fr. Jeffrey Keyes.Mkatoliki anayeshabikia utoaji wa mimba na akashindwa kupinga hadharani anakufuru na ana hatari ya kupoteza roho yake. Na hatakiwi kupokea ekaristi. Hapo sikusema kufa ila maana ya kupoteza roho yake.
ivi mwakyembe yupo mwambie tulibhakafuCCM Kyela nadhani ndio kumezidi kuwa na hali mbaya
Usijali ni wakati wa kampeni huu kukoseana adabu kwa kiwango kinachovumilika kunaruhusiwa...sijakwazika...sijakuchukia...heshima yangu kwako iko palepaleUnapoteza werevu tuluokuwa tunaofahamu. Umeandika kitaarabu sana mzee samahani kama takuwa nimekuudhi
Mbona hata Magufuli ana kadi ya NCCR lkn hayo hatuongelei kwa sasa.Mbowe atimuliwa na wanachadema huko hai. Hawamtaki!
Wapambe wake hawataki kabisa kumkubali Kinanasi , maana alikuwa mbeba mafaili wa Mwakyembe kwa miaka mingi .ivi mwakyembe yupo mwambie tulibhakafu