Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Kakurwa upandacho ndicho uvunacho. Tuliwakaribisha wapinzani ndani ya chama na kuwapa vyeo,kama kina kina Kitila Mkumbo.Katibu Mkuu wa CCM Ndg Bashiru Ally Kakurwa amekemea vikali tabia za baadhi ya wanachama wa CCM wanaopanga kukisaliti Chama katika kipindi hiki cha Uchaguzi Mkuu kwa maslahi yao binafsi. Ameahidi kuwachukulia hatua kali watakaobainika kusaliti Chama ikiwemo kuwafukuza Uanachama...
Sasa watu wanaona heri wachague tu watu wawapendao, kukishabikia chama kibinafsi hakulipi.