Huku Afrika nyinyi waislam mna wajibu wa kuwasaidia.Unataka chakula na misaada ya kafri tena ikusaidieni.Israel inaua kila siku hata watoto mbona hawakusanyiki makafir hao...
Congo kila siku watu wanakufa kwa vita wanayoifadhili mbona hamsemi.????
ethiopia..Somalia Djibout ..Kenya watu wanakufa njaa au hao sio watoto mbona wasitoe japo robo kuleta mahindi huko...Acheni Unafiki nyie watu bana...
Boss, atakuwa kaelewa.Mkuu unajua kutoa somo kikubwa,sina uhakika kama amekuelewa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jichanganyeni tu. Alichofanya juzi Urusi anaweza kukifanya pia kwa dunia nzima. Ma Sarmat yana uwezo wa kudondoka miji ya US kila baada ya nusu saa so ndani ya siku 3 Marekani itafanana na kusini mwa jangwa la Sahara
Hakuna mwehu anayeweza kumsogelea Putin, viongozi wote wa ulaya wa sasa ni vibaraka wa Us, wakiongozwa na Macaroni, wote wamekalia kuti kavu, watanyofolewa soon coz raia wamewachoka. Biden mwenyewe anapumulia mashine soonU.N wamemtolea nje maanake baraka za kumtwanga zimeachiwa
Binamu yako atakufaa basi☺️Mimi nafira tu
We unaakili kweli?nchi Gani inayoweza kuvamia nchi yenye mabomu ya kutisha ya nuclear kuliko nchi yoyote?Na wamesema akituma nuke, watamvamia
You must die first Putin anafaida dunia kuliko wewe.Putin must die for God
Kama Putin ni kichaa wewe ni Nani kichaa huwezi kuongoza superpower kama Russia.Putin ni kichaa haswa wacha achapwe huku tunamuimbia dunia haina huruma
Leo anaomba ajenge hub ya kuuza mafuta na gesi Uturuki ,huyu ni chizi
USSR
KaKonda kweli...daa🤦UN haina meno,
Kutwa kucha ni vikao TU vya kumchamba Putin na hamna lolote wanaweza kumfanya haoView attachment 2385480
Tuombe tu hii vita iishe au Putin aendelee kutawala,maana wanaomzunguka Putin ni wendawazimu promax.Ila Watu mnapenda vita sana sana, athari zake ni kubwa kuliko mnavyoweza kuwaza
Unamvungumzia Putin wa ccmZaidi ya mataifa 50 ya ulaya yamekutana nchini Ujerumani kujadili namna ya kuipa silaha na kuhakikisha Ukraine anashinda kwenye uvamizi wa dictetor Putin.
Wote wameanzimia kutoa michango ya silaha, fedha, mafunzo, madawa, silaha za kujilinda na makombora.
Hii ni baada ya dicteta Putin kushambulia miji yenye makazi ya watu na kifanya mauaji. Putin akitoboa mwaka huu mtanambia
=====
View attachment 2385387
More than 50 Western countries have met in Brussels to pledge more weapons for Ukraine, especially air defence systems, after Russia launched its most intense missile barrage since the war began.
At Wednesday’s meeting of the Ukraine Defense Contact Group, US Secretary of Defense Lloyd Austin said Russia’s latest attacks had laid bare its “malice and cruelty” since invading Ukraine on February 24.
Uzbekistan, Kazakhstan,Mataifa 50 unakutana na moldova, estonia, lithuania, latvia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Endelea kuji fariji na vi story vyako vya kijiweni. Moja ya sharti la USA kutoa HIMMARS kama msaada Ukraine ni kuto tumia HIMMARS kushambulia Ardhi yoyote ya Urusi! Una dhani kwa nn hilo sharti? Wana jua fika. Bomu liki tua Russia mna chapika wote. Daraja moja tu la Cremea lime lipuliwa ki gaidi kwa mitego ya malori siyo HIMMARS. Ukraine ime chapwa nchi nzima. Afu uwe una acha uongo wa kitoto. Maeneo 4 yame rasishwa juzi tu. Hakuna shambulio la HIMMARS ktk maeneo hayo hadi leo. Pia US Secretary of Denfense Austin ame zuia upelekeaji wa HIMMARS 18 zilizo salia Ukraine. Upuguza uongo na vi story vya BBC.Hizi story za vijiwe vya kahawa bana! Hizo silaha zinazopiga nakukomboa miji ambayo Russia amesema ni sehemu ya ardhi yake zinatoka Marekani na Western.
Putin alisema atakayeshabulia mikoa ambayo imenyakuliwa rasmi na Russia atakuwa ameishambulia ardhi ya Russia.
HIMARS za Marekani ndizo zinazotumika kushambuliwa maeneo yaliyotwaliwa na Russia kila siku na hivi leo Ukraine amekomboa eneo lililokuwa sehemu ya Russia huko kusini.
Mbona Russia harushi hayo makombora huko Washington ambapo ndo makombora ya HIMARS yanapotokea.
Urusi hayupo Peke yake, kwa sasa anapambana kufanya ulimwengu ujue uhuni wa westerners.Dahh wamenikumbusha yule mkenya aliojipendekeza umoja wa mataifa ety kulaani urusi akajibiwa na urusi hiyo issue haiwezi ni kama anatikisa mbuyu akidhani unatikisika kumbe ni matako yake ndo yanatikisika 50 country wamekutana dhidi ya taifa moja kiukwel tulikuwa tunaichukulia urusi kawaida ifike mahari salute zipigwe kila pembe ya Tanzania zimfikie putin
Binamu yangu si ndo wewe auBinamu yako atakufaa basi[emoji3526]