Madawa ya kulevya. Alikuwa na company ya watumia unga wakamfundisha akawa mzoefu yakamdhoofu akawa teja akafariki.Walimuua?
Company na kuendekeza makundi. Unakuwa na kampani ya watu wanaokushawishi ufanye mambo ambayo hata wewe unaona kabisa kuwa hili sio sawa ila wao wanakupush ufanye hadi unajikuta umeshafanya.Sana mkuu wengi sana. Sijui huwa wanaingia kwa kujua au kuna watu huwa wanawategeshea then wanajikuta tayari washaingia maana wana mifano mingi ya wenzao waliopotezwa na hiki kitu.
Kweli kabisa kinacho mponza Chid ni wale masela wake ukipita mitaa ya Karume kule kunachimbo lao wanapiga sana mitungi na nahs akiwa na ela ndo wanamsonga ila zikija kuisha wanamuacha apambaneChid mboni alishapona au wewe unazungumzia nini Chid kinachomsumbua sasa hivi ni tungi anakunywa sana na alishashauriwa na Daktari aache mitungi Ila Mzee anarudi kule kule sababu ni masela wanaomzunguka wale masela wa Ilala wote anabidi awapige chini ndio wanaomrudisha SHIMONI
Usela Mavi umekujaaNdo yamekujaa kichwani dogo. Mnavuta sana machicha....
Duh ni huzuni.Madawa ya kulevya. Alikuwa na company ya watumia unga wakamfundisha akawa mzoefu yakamdhoofu akawa teja akafariki.
Chidi ni rapa mkali sana ila mfumo wa nchi kwenye mziki wa hip hop haujampa mafanikio kulinganisha na alichotoa(uwezo wake) imepelekea kupata msongo wa mawazo na kutumbukia kwenye uraibu wa madawa ya kulevya.
Mtu mwingine anayekuja kwa sifa ni Young dee soon kitaumana.
Omba yasikukute.Bora uraibu wa kamari kulilko UNGA.
Umeongea point. Wanyonyaji katika hiyo sekta ya music ndo wamewafikisha wengi hapo mahala oabaya walipofika, miongoni kwao Tod na q.chief. Vijana walikuwa na vipaji lakini wanyonyaji wakawadhibiyi na kuwakamdamiza na kiwataka wafate SHERIA zao kandamizi na wakiuliza tu wanapotezwa kwenye industry, muziki Yao haipigwi... management za kinyonyaji miongoni kwao marehemu Ruge na Joseph kusaga na kina chief kumbe... Diamond mjanja sana alkwasanukia mapema akatupa huko, ingawa mpaka Sasa sio kwamba yupo salama sana sababu bado wamemganda na wanampa percentage kidogo hapo wasafi...let's wait and see kama atafanikiwa kwenye hiyo seven media
Umenena vyema mkuuVijana tujitahidini sana kuishi kwa nidhamu, Ujana una mambo mengi bila yakua na nidhamu ni rahisi kuanguka
Shida hataki kuachanq na hio kampani ya masela MaviAmepona vipi na unaambia anakaa maskani na mateja..
Sasa nyie straight uchwara ndo mumsaidie, unataka mashoga wamsaidie akat yeye hawatakiii?Huyu Chidi juzi kati katoboa Siri kuwa Wasanii wengi ni mashoga (wanalika), unadhani watakuwa nae?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatareeee tupuIla madawa ya kicenge sana, hebu imagine ile hisia unaipataga ukiwa na nyege zinakujia taswira za demu yeyote mkali unaemtamani unabanwa kweli kweli halafu huna cha kufanya unaishia kujichukulia sheria mkononi[emoji23]!
Sasa hisia ile ile ni kwenye alosto ya Unga na inakuwa ni mara 50 au zaidi. Yani unakabwa na mwani hadi unaona bora utungue hata TV ya mzazi wako ukaiuze hata elfu 80 upate pindo tu [emoji16]
π π π π π dah maisha bhna yaani uraibu wowote haujawai kuwa na matokeo mazuri.....ni starehe yenye athari mbaya.....madhara ya moto majivu....Ila madawa ya kicenge sana, hebu imagine ile hisia unaipataga ukiwa na nyege zinakujia taswira za demu yeyote mkali unaemtamani unabanwa kweli kweli halafu huna cha kufanya unaishia kujichukulia sheria mkononiπ!
Sasa hisia ile ile ni kwenye alosto ya Unga na inakuwa ni mara 50 au zaidi. Yani unakabwa na mwani hadi unaona bora utungue hata TV ya mzazi wako ukaiuze hata elfu 80 upate pindo tu π
Kuacha madawa ni sawa na wewe kuacha kutowmba mkuu! Hebu imagine umezoea kupiga mbususu deile ghafla uambiwe acha hio vita utaiweza? Ndio maana watu wanajua kuwa kuna Ukimwi ila bado still wanagonga kavu tu πππChid kasaidiwa sana na bado karudi kule kule. Sikio la kufa.
Kuacha madawa ni sawa na wewe kuacha kutowmba mkuu! Hebu imagine umezoea kupiga mbususu deile ghafla uambiwe acha hio vita utaiweza? Ndio maana watu wanajua kuwa kuna Ukimwi ila bado still wanagonga kavu tu πππ
Mkuu uraibu ni mbaya ila uraibu mbaya zaidi ni ule unaoathiri afya yako ya mwili mkuu kama mdawa na ulevi na ngono zembe.π π π π π dah maisha bhna yaani uraibu wowote haujawai kuwa na matokeo mazuri.....ni starehe yenye athari mbaya.....madhara ya moto majivu....