Richard irakunda
JF-Expert Member
- Oct 23, 2018
- 3,660
- 4,384
rwanda na wakubwa zake sio kikwazo kwa ufaransa ila tabia zao ndio kikwazo coz pote walipo ufaransa kuna vitaKikwazo ni USA+UK wakiitumia Rwanda kwa kadri wawezavyo.
Unadhani vipi sio kikwazo wkt vita vyote vilivyotokea Ufaransa amekua na mkono wake,kuanzia kum-support mobutu kijeshi,Serikali ya habyarimana Ufaransa iliisupport sana kijeshi na wkt huo huo ikijulikana kote ambako Rwanda alipigana both Congo na Rwanda kwenyewe alikua anakua supported na USA+UK.rwanda na wakubwa zake sio kikwazo kwa ufaransa ila tabia zao ndio kikwazo coz pote walipo ufaransa kuna vita
kwaiyo tanzania na kenya wenyewe hawana shida na ufaransa?
sasa hapo kikwazo sio rwanda bali ni tabia zake zakupenda vita ndio kikwazoUnadhani vipi sio kikwazo wkt vita vyote vilivyotokea Ufaransa amekua na mkono wake,kuanzia kum-support mobutu kijeshi,Serikali ya habyarimana Ufaransa iliisupport sana kijeshi na wkt huo huo ikijulikana kote ambako Rwanda alipigana both Congo na Rwanda kwenyewe alikua anakua supported na USA+UK.
Tz na Kenya hawana shida kwa sababu hakuna Common history na wafaransa.
Unaionaje influence ya Uingereza hapo Kenya?
Tabia za nani kupenda vita?Rwanda au France?sasa hapo kikwazo sio rwanda bali ni tabia zake zakupenda vita ndio kikwazo
franceTabia za nani kupenda vita?Rwanda au France?
Hata sisi kwa sasa ni pesa mbele. Tulishachoka kusaidia watu bure bure. Ndiyo maana kwasasa hatuombei Rwanda na Burundi kupigana maana mradi wa SGR kwenda Rwanda utasimama.namuonea huruma saana slim maana bongo hamumtaki
south wanamlia taiming
kongo hawana la kumfanya
uganda hasomeki
kenya ni pesa mbele
Mkuu Burundi ni wazoefu wa vita?Hebu tuwekee hapa vita ambavyo Burundi chini ya Nkurunziza imepigana ikavishinda?
Drc wana uzoefu wa vita?aisee hapo ndio haupo serious wale ni mdebwedo hawajawahi kua na ujasiri wa kupigana zaidi ya kujua kukata mauno(ndomboroo) na kuja kusuka dada zetu huku dar ila kwny vita hamna kitu hapo.Afu kusema Rwanda inawavuruga Congo si kweli ila Congo wao ndio walianza kuwachokoza Rwanda kwa kuwapokea waliofanya Genocide miaka ile na kuwaruhusu waanzishe training camps ndani ya Congo,na kilicjofuata ndio mpk leo hawakai kwa amani.
Uganda wao huyo PK anawajua mpk chumbani kwao,huyo PK si ndio former CMI wa Uganda sio?Unajua kwanini IGP wa Uganda alifukuzwa kazi na kesi juu mahakamani?
watu wanamchukulia burund simpleLeo hii Burundi wameambiwa wapunguze jeshi lenye watu zaidi ya 1000huko somalia hata huko somalia wanapata uzoefu pia
Hapa ktk maslahi na Tz tunapata nini ndo ile hoja yangu inapokuja...mercenaries...+ looting hakuna kingine hapa tena kipindi cha M23 aisee Mwakibinga angetuinua sana koz hakuna aliyeingia front zaidi ya Tz so tulikuwa wenyewe tunge loot vya kutosha tuKama unamuona yuko salama wkt hana jeshi thabiti basi Rwanda itakua salama mara elfu aisee.
Jiwe hazingui yuko sawa kabisaa,Tz imewabeba Burundi miaka yote then inapata nini?Influence au kubaki tunasema tu Burundi ni mtoto wetu?
Kwanini yeye Burundi hataki kusimama kwa miguu yake awe fit kiuchumi na hata kijeshi ili akiongea na yeye awe ana sauti ya kiaina kwa wenzake?
M23 ukiwatajia Mwakibinga mpaka leo wanatetemekaNdiyo maana ninatamani Rwanda iivamie kijeshi Burundi ili huo uzoefu wa kivita walionao tuuone. Hakika Rwanda walipovaa magwanda wakajiita M23 tuliiona shughuli yao. Kweli Rwanda ni hatari kijeshi, kiuchumi na kiintelijensia kuliko nchi yoyote Afrika ya mashariki!
huyo mzee burundi raia wanamkubali saanaM23 ukiwatajia Mwakibinga mpaka leo wanatetemeka
ahaa how mkuu? alifanya nini na kuleta influence ipi?M23 ukiwatajia Mwakibinga mpaka leo wanatetemeka
Faza anajulikana bt now kawa kama mbwa kokoFAZA na huu ukanda ni NANI?
Mimi simjuh broo.hebu nambieh hata kwa codeFaza anajulikana bt now kawa kama mbwa koko
tanzaniaMimi simjuh broo.hebu nambieh hata kwa code
Hao ndio wazee wa battlefield, siyo RDF wa kupambana na wapinzani.Juzi kati kuna waasi wanajiita wachunguzi walipiga wanajeshi wa kagame na kuuwa 14 na 60 kuumizwa vibaya sana, kifupi walichoma kambi nzima ya RDF huko maeneo ya kisenyi. Sasa pata picha.
kawajaribu muoneKakudangqnya nani?
Hii ndio top 25:Leo hii Burundi wameambiwa wapunguze jeshi lenye watu zaidi ya 1000huko somalia hata huko somalia wanapata uzoefu pia
Sehemu ya hio habari khs departure ya Burundi inasema "But as the Burundi troops are poorly equipped, it was then decided for operational reasons that the first phase of departures should be just the Burundi contingent, the source said."watu wanamchukulia burund simple
Maslahi kwanza,Tanzania imebeba wakimbizi wa Rwanda,Burundi,Congo kwa muda mrefu na madhara yake yameonekana.Hata sisi kwa sasa ni pesa mbele. Tulishachoka kusaidia watu bure bure. Ndiyo maana kwasasa hatuombei Rwanda na Burundi kupigana maana mradi wa SGR kwenda Rwanda utasimama.