Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
[emoji23][emoji23]ww kimbelembele unaetaka kila mtu ajue ni tecno ni nan hasa jitokeze
Mkuu, kwa nje ndivyo inavyoonekana lakini sivyo ilivyo! Uhusiano na Rwanda upo kwa tahadhari kubwa. Kuna mambo JPM anaendelea kumsoma taratibu rafiki yake huyo (PK). Ameshaanza kujua kwamba jirani ni mtu mnafiki na mwenye hila.Siasa zinabadilika sana mkuu, chini ya utawala wa JPM, Tanzania ni rafiki mkubwa wa Rwanda kuliko Burundi
Ndgu hakuna jirani mnafik kama paka a.k. a mr slim kama aliwahi kusema anajua hadi rangi mashuka anayolalia Mh JK magogoni kipindi kile anatuulia vijana kule Congo DRC ,na JPM anajua unafiki wa slim, kama ni mrafiki awatoe askari wetu Kyle drc waliopelekwa na Jk kipindi l'île kumwadhibu pakaMkuu, kwa nje ndivyo inavyoonekana lakini sivyo ilivyo! Uhusiano na Rwanda upo kwa tahadhari kubwa. Kuna mambo JPM anaendelea kumsoma taratibu rafiki yake huyo (PK). Ameshaanza kujua kwamba jirani ni mtu mnafiki na mwenye hila.
Time will tell!
time za jk kitendo cha askari 14 kuuwawa nadhan now ADF wangekuwa wanawajibika kwa kitendo hichoNdgu hakuna jirani mnafik kama paka a.k. a mr slim kama aliwahi kusema anajua hadi rangi mashuka anayolalia Mh JK magogoni kipindi kile anatuulia vijana kule Congo DRC ,na JPM anajua unafiki wa slim, kama ni mrafiki awatoe askari wetu Kyle drc waliopelekwa na Jk kipindi l'île kumwadhibu paka
wazee walisema ( dume mkubwa hupigwa na dume mdogo ki mzaha)Burundi haiwezi kua tishio kwa Rwanda hata siku moja. Na wakitaka nchi yao iwe na utulivu waachane na Rwanda. PK kumkabili inahitaji akili kubwa ambayo Nkurunziza hana.
Mi nasubiri mercenary recruitment kipigana na Kagame. Nishaanza mazoezi mdogomdogohii vita ikitokea kweli Tanzania tunaweza kunufaika sana kuliko tunavyofikiria kwanza zana nyingi za kivita zitapitia bandarini kwetu na mamia ya wakimbizi watakuja kwenye kambi zetu kwa hiyo ajira njenje na kwa maaskari walioko mipakani pesa ni za kujiokotea kabisa kutoka kwa hao wakimbizi kwahiyo kama mimi ningekuwa ndio nawashauri ningewashauri waanze kutwangana hata Jana asubuhi
Burundi watapata tabu sana.wazee walisema ( dume mkubwa hupigwa na dume mdogo ki mzaha)
usiibeze Burundi vita haina mwenyewe
Haa!Based on Vifaa, Uzoefu, ujuzi na Uzalendo Burundi watapata tabu sana.
Hahaha aiseeehii vita ikitokea kweli Tanzania tunaweza kunufaika sana kuliko tunavyofikiria kwanza zana nyingi za kivita zitapitia bandarini kwetu na mamia ya wakimbizi watakuja kwenye kambi zetu kwa hiyo ajira njenje na kwa maaskari walioko mipakani pesa ni za kujiokotea kabisa kutoka kwa hao wakimbizi kwahiyo kama mimi ningekuwa ndio nawashauri ningewashauri waanze kutwangana hata Jana asubuhi
Kichaa yupi huyo aliyepakatwa miguuni kwa Kagame ?Binadamu wote ni Sawa na Africa ni moja Diplomatic ichukue mkondo wake, japo mimi Mr slim simpendi alimtukana kiongozi wangu jk, kosa tuliolifanya ni kumwonea huruma, eb Leo ampe maneno ya shombo kichaa kama asbhi na mapema ajatubu, na pengine asipate hta mda wa kuomba pooo
Aisee ukipata huo mchongo nishtue ,Full time maisha yangu ni kama nipo kwenye zoeziMi nasubiri mercenary recruitment kipigana na Kagame. Nishaanza mazoezi mdogomdogo
Hii tunaiita anti anti tankunazijua RPG?
zipo kama hivyo bt zenyewe zinaweza kuvunja mpaka vifaru
alafu pia mwaka kesho urusi wanazindua kifaru ambacho mpaka sasa hakuna ant tank ambayo inaweza kukivunja
Poapoa jombaa kama una watu waliopo Kigoma hasa kule Buhigwe tuwe tunaulizia ulizia.Aisee ukipata huo mchongo nishtue ,Full time maisha yangu ni kama nipo kwenye zoezi
Nahitaji pesa nyingi sana na kuwa Mercenary inalipa.