Tetesi: Hali ya hatari kati ya Burundi vs Rwanda

Tetesi: Hali ya hatari kati ya Burundi vs Rwanda

Yaan ni kombora au

Hauna hata picha yake mkuu
download-2.jpg
images-15.jpg
 
Siasa zinabadilika sana mkuu, chini ya utawala wa JPM, Tanzania ni rafiki mkubwa wa Rwanda kuliko Burundi
Mkuu, kwa nje ndivyo inavyoonekana lakini sivyo ilivyo! Uhusiano na Rwanda upo kwa tahadhari kubwa. Kuna mambo JPM anaendelea kumsoma taratibu rafiki yake huyo (PK). Ameshaanza kujua kwamba jirani ni mtu mnafiki na mwenye hila.
Time will tell!
 
Mkuu, kwa nje ndivyo inavyoonekana lakini sivyo ilivyo! Uhusiano na Rwanda upo kwa tahadhari kubwa. Kuna mambo JPM anaendelea kumsoma taratibu rafiki yake huyo (PK). Ameshaanza kujua kwamba jirani ni mtu mnafiki na mwenye hila.
Time will tell!
Ndgu hakuna jirani mnafik kama paka a.k. a mr slim kama aliwahi kusema anajua hadi rangi mashuka anayolalia Mh JK magogoni kipindi kile anatuulia vijana kule Congo DRC ,na JPM anajua unafiki wa slim, kama ni mrafiki awatoe askari wetu Kyle drc waliopelekwa na Jk kipindi l'île kumwadhibu paka
 
Ndgu hakuna jirani mnafik kama paka a.k. a mr slim kama aliwahi kusema anajua hadi rangi mashuka anayolalia Mh JK magogoni kipindi kile anatuulia vijana kule Congo DRC ,na JPM anajua unafiki wa slim, kama ni mrafiki awatoe askari wetu Kyle drc waliopelekwa na Jk kipindi l'île kumwadhibu paka
time za jk kitendo cha askari 14 kuuwawa nadhan now ADF wangekuwa wanawajibika kwa kitendo hicho
 
Burundi haiwezi kua tishio kwa Rwanda hata siku moja. Na wakitaka nchi yao iwe na utulivu waachane na Rwanda. PK kumkabili inahitaji akili kubwa ambayo Nkurunziza hana.
wazee walisema ( dume mkubwa hupigwa na dume mdogo ki mzaha)
usiibeze Burundi vita haina mwenyewe
 
hii vita ikitokea kweli Tanzania tunaweza kunufaika sana kuliko tunavyofikiria kwanza zana nyingi za kivita zitapitia bandarini kwetu na mamia ya wakimbizi watakuja kwenye kambi zetu kwa hiyo ajira njenje na kwa maaskari walioko mipakani pesa ni za kujiokotea kabisa kutoka kwa hao wakimbizi kwahiyo kama mimi ningekuwa ndio nawashauri ningewashauri waanze kutwangana hata Jana asubuhi
Mi nasubiri mercenary recruitment kipigana na Kagame. Nishaanza mazoezi mdogomdogo
 
Based on Vifaa, Uzoefu, ujuzi na Uzalendo
wazee walisema ( dume mkubwa hupigwa na dume mdogo ki mzaha)
usiibeze Burundi vita haina mwenyewe
Burundi watapata tabu sana.
 
Burundi?

Hahah nchi haina wajeshi hio ila ina ka-kundi ka wahuni wahuni wenye silaha tu.
 
Wakipigana iyo vita Itakuwa na madhara kwa upande wetu sisi watz wakimbizi watakuwa wengi sana nchini kwetu na hata usalama na vitendo vya kiuhalifu vitaongezeka sana katika mikoa ya jirani
 
hii vita ikitokea kweli Tanzania tunaweza kunufaika sana kuliko tunavyofikiria kwanza zana nyingi za kivita zitapitia bandarini kwetu na mamia ya wakimbizi watakuja kwenye kambi zetu kwa hiyo ajira njenje na kwa maaskari walioko mipakani pesa ni za kujiokotea kabisa kutoka kwa hao wakimbizi kwahiyo kama mimi ningekuwa ndio nawashauri ningewashauri waanze kutwangana hata Jana asubuhi
Hahaha aiseee
 
Binadamu wote ni Sawa na Africa ni moja Diplomatic ichukue mkondo wake, japo mimi Mr slim simpendi alimtukana kiongozi wangu jk, kosa tuliolifanya ni kumwonea huruma, eb Leo ampe maneno ya shombo kichaa kama asbhi na mapema ajatubu, na pengine asipate hta mda wa kuomba pooo
Kichaa yupi huyo aliyepakatwa miguuni kwa Kagame ?
 
Back
Top Bottom