Tuombee wasipigane na tujikite katika usuruhishiMm binafsi ninafurahi kuona hawa ndugu wakigombana tena sipo upande wowote sababu wote ni madikiteta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuombee wasipigane na tujikite katika usuruhishiMm binafsi ninafurahi kuona hawa ndugu wakigombana tena sipo upande wowote sababu wote ni madikiteta
Unajua kabla ya Vita ya kwanza ya Dunia hawa jamaa tulikuwa nao pamoja , Mjerumani kushindwa ndio tukagawanywa gawanywa.Prof Mazrui aliwahi kutoa ushauri huo kabla hawa jamaa kuwa kwenye EAC.Shirikisho la Jamhuri ya Watu wa Tanzaburua (Muungano wa Tanzania na Burundi). Hili ndilo suluhisho la matatizo ya kwenye maziwa makuu hasa kati ya Rwanda na Burundi
Rwanda wapo vizuri sana kwenye vita., siyo rahisi kutwaa hata km moja yao, patachimbika kweli kweliHuenda tulikosea kuwakaribisha hawa wenzetu kwenye EAC...ni watu waliozoea kuuwana. Yaani wasipoona damu ya halaiki ikitiririka mioyo yao haitulii. Kuna umuhimu wa nchi hizi kuchukuliwa na kuwa mikoa ya Tanzania. Jwtz kapanueni mipaka ya nchi yetu
Walipigana na nani ambaye alikuwa nchi kamili Kama Tanzania na Uganda 1978-79 akashinda, usiitaje Uganda ambaye walikuwa wanagombania kama waasi kwenye nchi jiraniRwanda wapo vizuri sana kwenye vita., siyo rahisi kutwaa hata km moja yao, patachimbika kweli kweli
Hili sikubaliani nalo. Burundi wakiweka uzalendo mbele kupigania nchi yao, jeshi la Burundi pamoja na Waasi wa Nterahamwe (kama sijakosea) walioko mapori ya Congo ni wazoefu wa ambushi/vita kuliko unavyodhani. Hakuna jinsi Kigali itapona.Rwanda wapo vizuri sana kwenye vita., siyo rahisi kutwaa hata km moja yao, patachimbika kweli kweli
Faza ni nani kama sio TanzaniaNaigonja kwa hamu saana hii vita
uchumi wa rwanda na burundi ni sawa ila rwanda wanajenga kigali burundi wenyewe wanajenga nchi nzima
rwanda anaeonekana bora mizinga yake mipya ni BM-21 ambayo kwa tanzania ilikuwepo toka miaka ya 70 mizinga ya burundi ni BM-45 ni bora zaidi kuliko ya slim
wote airforce zao ni hovyo bt rwanda anakaunafuu kidogo
Burundi wana ant tank nzuri zaidi kuliko rwanda lkn rwanda wana vifaru vzr zaidi ya burundi
uhusiano wa jw na burundi upo kama baba na mwana nakumbuka 2014 burundi waliingiza jet zao ziliingia kilometa nyingi kwenye anga la tz lkn hazikutunguliwa japo zilizua taharuki kias chake
vita hii inaweza kugeuka nakuwa ya ukabila na kama itatokea hivyo kuna jamii itakiona cha moto coz ukimuona tu unamjua wala hauangaiki kumtafuta
ili hii vita ipigane lzm FAZA wa ukanda huu atoe ruksa kwa pande zote mbili coz yeye ndio mwenye uwezo wa kuamua mshindi
kazi ni kwao
huyohuyo na ndie atakaeamua mshindi wa hizo ghasiaFaza ni nani kama sio Tanzania
Duuh ,jamaa umetisha na vipi ant tank Burundi walitaka kununua kwa Putin wameshanunua au waligaili?Naigonja kwa hamu saana hii vita
uchumi wa rwanda na burundi ni sawa ila rwanda wanajenga kigali burundi wenyewe wanajenga nchi nzima
rwanda anaeonekana bora mizinga yake mipya ni BM-21 ambayo kwa tanzania ilikuwepo toka miaka ya 70 mizinga ya burundi ni BM-45 ni bora zaidi kuliko ya slim
wote airforce zao ni hovyo bt rwanda anakaunafuu kidogo
Burundi wana ant tank nzuri zaidi kuliko rwanda lkn rwanda wana vifaru vzr zaidi ya burundi
uhusiano wa jw na burundi upo kama baba na mwana nakumbuka 2014 burundi waliingiza jet zao ziliingia kilometa nyingi kwenye anga la tz lkn hazikutunguliwa japo zilizua taharuki kias chake
vita hii inaweza kugeuka nakuwa ya ukabila na kama itatokea hivyo kuna jamii itakiona cha moto coz ukimuona tu unamjua wala hauangaiki kumtafuta
ili hii vita ipigane lzm FAZA wa ukanda huu atoe ruksa kwa pande zote mbili coz yeye ndio mwenye uwezo wa kuamua mshindi
kazi ni kwao
Ni jambo jema lakini Tuanze mdogo mdogo kwanza, na wakuanza naye ni Burundi.Mkuu syo Tanzaburwa ?
Kuunganisha kijeshi, kiuchumi na kidiplomasia ila kiutamaduni kila taifa liendelee kama mwanzo. Raia wa pande zote waulizwe kwanza kama wanakubali Muungano huo.Ndgu unamanisha dipromasia au jwtz ?
walinunua alafu za kisasa zaidiDuuh ,jamaa umetisha na vipi ant tank Burundi walitaka kununua kwa Putin wameshanunua au waligaili?
Baada kuichukua ZANZIBAR uchu Wa kuendelea kutawala bado mnao msifikir kwa hao wengine mnaweza kuyafanya makoloni yenu km mlivyofanya kwa ZANZIBAR.Huenda tulikosea kuwakaribisha hawa wenzetu kwenye EAC...ni watu waliozoea kuuwana. Yaani wasipoona damu ya halaiki ikitiririka mioyo yao haitulii. Kuna umuhimu wa nchi hizi kuchukuliwa na kuwa mikoa ya Tanzania. Jwtz kapanueni mipaka ya nchi yetu
Rejea Idd Amin na Vita ya Kagerawalinunua alafu za kisasa zaidi
alafu wana ant tank aina zaid ya kumi
jina lake nimelisahau japo inasemekana zina akili sana na zinapiga long target kwa ufasaha zaid
Rejea majeshi ya tz yalipata taarifa nyingi za kijasusi kutoka kwa raiaRejea Idd Amin na Vita ya Kagera