financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Uko vizuri kwenye hiyo sekta mkuu😀😀Hajaoa bhana wimbo wa taifa, kabla sijakuwa mtoa assist nilijiridhisha kwa kuongea na majirani kwanza kumsoma tabia yake mpaka ka wazazi kule Matombo ili nisije nikakuweka katika mikono ambayo utateseka. Hapo umefika yaani ni sawa na Ile kujisemea moyoni "NOW I FIND THE RIGHTONE"😊😊
mie sina mke humu.. kama yupo ajitokezee 😅😅😅😅Haa unamkana eeh
Usiwe na wasi wasi.. moyo wako utafurahi tu 😊😊Uko vizuri kwenye hiyo sekta mkuu😀😀
Hebu fafanua kdgNinaitwa Alone as my middle name
Pls do the needfull ktk sekta ya kuspend😁
Stress for who stress for what enjoy maishaa aiseeMamamaeeehhh😅😅😅😅Kitu mdudu nimemtandika nusu mchana na plizina zangu 7 bariidii,,,nimetulia zangu tym hii na kula zangu bangi drai taratiibu huku naperuzi peruzi jamii ya wana forum!!!
We si ulisema mahali flani kuwa uko Sumbawanga?Yaani hata mlango sijafungua kabisa ni movies na kuzungukia fridge kupasha viporo na kula[emoji3][emoji3]
una enjoy vipi.. unaishi mwenyewe kama nyokaa na hili winter 😒😒Stress for who stress for what enjoy maishaa aisee
As a human, we are not static, ukiwa Dodoma ndiyo utafia huko huko bila kwenda sehem zingine maybe? Aah mkuu.We si ulisema mahali flani kuwa uko Sumbawanga?
Ukimaliza kuna series ya "Unyabumbu" sema tu nikuletee ni kali kinoma hio.Jamani asubuh kulikua jua. Ila huwezi amin ilipofika sa 8 wingu zito mara mvua hii hapa.
Hata TMA hawajatupa tahadhari kuna kiubaridi haswaa. Jamani vaeni masweta na miguun tupia tusoksi mana tiles zinatia ubarid.
Koroga kahawa au chai ya tangawizi kaa nayo pembeni kama una mzgo wa series huu ndo muda ss.
Usiwe kama Equation x angeshatafuta pisi ya kuzagamua au mzabzab anawaza kuita watoto wa watu.
Saa zingine kuspend time alone kuna karaha kake. Mimi nipo na series ya Citadel hapa karibuni😘
Cool Mamiii!!!✊✊Stress for who stress for what enjoy maishaa aisee
Okay. Karibu dar.As a human, we are not static, ukiwa Dodoma ndiyo utafia huko huko bila kwenda sehem zingine maybe? Aah mkuu.
Ahsante mkuu, nimekaribiaaOkay. Karibu dar.
LeteUkimaliza kuna series ya "Unyabumbu" sema tu nikuletee ni kali kinoma hio.
Bado uko maeneo ya Queen of Sheba au umehamaga pale.Lete
Niko pale pals nihame kwani nmejengaBado uko maeneo ya Queen of Sheba au umehamaga pale.