Hali ya hewa leo Dar

Hali ya hewa leo Dar

Hajaoa bhana wimbo wa taifa, kabla sijakuwa mtoa assist nilijiridhisha kwa kuongea na majirani kwanza kumsoma tabia yake mpaka ka wazazi kule Matombo ili nisije nikakuweka katika mikono ambayo utateseka. Hapo umefika yaani ni sawa na Ile kujisemea moyoni "NOW I FIND THE RIGHTONE"😊😊
Uko vizuri kwenye hiyo sekta mkuu😀😀
 
Mamamaeeehhh😅😅😅😅Kitu mdudu nimemtandika nusu mchana na plizina zangu 7 bariidii,,,nimetulia zangu tym hii na kula zangu bangi drai taratiibu huku naperuzi peruzi jamii ya wana forum!!!
Stress for who stress for what enjoy maishaa aisee
 
Nipe to location ya ulipo nije tuangalie wote hiyo citadel,Japo sidhani kama utakua

hujaimaliza,ka series gani kafupi kama Mkojo wa mtoto,Ntakuja na nyingine nzuri nzuri

ya kuitwa FROM nakuja nazo zote mbili tuzianze wote,Hali ya hewa hii sio ya kuangalia series

Tamu (fupi) unatakiwa upate kigongo halafu kirefu refu mpka kiishe na Muda wa kusema Good Night umefika.
 
Wadada hali ya hewa kama hiii wanajitiaga vikomando kumbe vinaipata pata

dawa ni unakaa nacho pembeni mnaangalia movie na hamna kukagusa,tuone atanibaka!
 
Jamani asubuh kulikua jua. Ila huwezi amin ilipofika sa 8 wingu zito mara mvua hii hapa.

Hata TMA hawajatupa tahadhari kuna kiubaridi haswaa. Jamani vaeni masweta na miguun tupia tusoksi mana tiles zinatia ubarid.

Koroga kahawa au chai ya tangawizi kaa nayo pembeni kama una mzgo wa series huu ndo muda ss.

Usiwe kama Equation x angeshatafuta pisi ya kuzagamua au mzabzab anawaza kuita watoto wa watu.

Saa zingine kuspend time alone kuna karaha kake. Mimi nipo na series ya Citadel hapa karibuni😘
Ukimaliza kuna series ya "Unyabumbu" sema tu nikuletee ni kali kinoma hio.
 
Back
Top Bottom