Hali ya hewa ya Dodoma imenishinda

Ningekuwa raisi, kesho ungepokea barua ya teuzi.....
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Subiri na tetemeko dom ndo njia yake [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Halafu ndio wanahamasisha watu wawekeze dom....meko hakua na akili kabisa alipaswa atoe maji ya uhakika kwenye vyanzo moro mpka dom,ndio aanze kujenga huo mji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…