min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
N ngumu sana kwa serikali inayoongozwa na chama cha siasa kuwachukulia hatua watu kama hawa walio shikilia imani za watu zaid ya milioni , kwenye uchanguzi ni hatari sna kukosa kura zaid ya milion moja , kisa tu maamuzi yasiyo athiri nafasi yako kwenye serikali.