Hali ya Maambukizi ya HIV kwenye vyuo vikuu si nzuri na elimu ya kujikinga haitolewi vya kutosha kama miaka ya nyuma 2010 kurudi nyuma

jovaa🙆‍♂️🙆‍♂️tufwire nyambara
 
Hivi unajua hata watumishi wa umma kama waalimu, manurse wanawake weambukizwa
wengi kuliko watu wa kawaida kama wakulima
tatizo watu hawaambiwi ukweli ivyo hawajui kama shida hii ni kubwa kiasi gani.

na hayo ni matokeo ya kuingiza siasa sehemu zinazotaka kuwa serious.

sauzi na sisi tuna idadi karibu sawa ya watu ila wao wana wagonjwa karibia milioni 8 huku sisi eti milioni 1.6🤔🤔.

sasa hapo unajiuliza sisi tumefanya nini kilichopunguza hayo maambukizi kwa kiasi kikubwa ivo?

utakuta apo ni siasa tu za kuficha ukweli eti wasilete taharuki. watu waambiwe ukweli tu labda watachukua tahadhari kujilinda. kuficha hakusaidii
 
Ni kweli mkuu sisi tuna tabia ya kuficha sana mambo ila ki uhalisia

hiyo namba itakuwa kubwa zaidi. Mfano huko kwenye watumishi wa umma hali ni mbaya
sana kwenye majeshi, watumishi wa afya, waalimu na kadhalika.
 
Afrika Kusini wapo wazi sana hata Nelson Mandela miaka ya
2000S alitangaza wazi kuwa mtoto wake kafa kwa Ukimwi
na kuna wengine walikuwa washakufa kwa ugonjwa huo.
 
Wao wanatumwa kurudi na degree sio vvu kuna bango kubwa na isitoshe mashirika ya ukimwi ni mengi sana hivyo wanaitaji client
 
wengi wanasema saivi hiv sio tishio maana dawa ipo. kisichosemwa ni madhara ya izo dawa. kunywa dawa kwa muda mrefu kunachosha mwili na kuupa mwili shida nyingi. na ukiacha kunywa dawa tu hautoboi lazma ufe chap.
 
wengi wanasema saivi hiv sio tishio maana dawa ipo. kisichosemwa ni madhara ya izo dawa. kunywa dawa kwa muda mrefu kunachosha mwili na kuupa mwili shida nyingi. na ukiacha kunywa dawa tu hautoboi lazma ufe chap.
Ni kweli dawa hizo zinachosha na zina maudhi mengi sana. Hiyo lugha ya
kuwa sio tishio ni lugha ya kujipa moyo kwa sababu mtu ameshabukizwa
hana namna sasa na wengine wasio kuwa nao wanaingia kwenye mtego huo.
 
Vijana Sasa ndo wana HIV fresh afu wengi hawajui ....hatari mara mia
Ndio ila wengi wameambukizwa na hiyo Mibaba, Mbaba mmoja Kibosile
anaweza kuambukiza mabinti hata 50 kwa kuwapa elfu 20 au chipsi
kuku na mirinda.

Alafu vijana wa kiume wengi wao wanaupata sasa kwa hao madem
zao wanaotembea ni vibosile hao.

Japo kuna vijana wachache nao wanatembea na mishangazi ila kwa
umri wa wanachuo sio vijana wengi wa kiume wanafanya hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…