Hali ya maisha imekuwa tete sana.
Mchele
Maharagwe.
Mafuta.
Unga
Havinunuliki. Viongozi amkeni msimuharibie mama
Hao uliowataja unataka wakakulimie au? Hii tabia ya utegemezi na kudhani watu Fulani ndio wekusababishia Ugumu wa Maisha ni mbaya sana.Hali ya maisha imekuwa tete sana.
Mchele
Maharagwe.
Mafuta.
Unga
Havinunuliki. Viongozi amkeni msimuharibie mama
Mama asipoamka mambo yatamharibikia vibaya!Hali ya maisha imekuwa tete sana.
Mchele
Maharagwe.
Mafuta.
Unga
Havinunuliki. Viongozi amkeni msimuharibie mama
Yani hali mbaya sana aiseeYaani Mimi hivi je mwananch wa hali ua chini?
🤣🤣🤣🤣🤣 Kweli kiongozi, watu wanazurura na mikeka, soksi na boxa kwenye baa na maeneo mbalimbali huko alafu anataka ale kwa bei rahisi. Maisha hayarudi nyuma usiombe yakuache utajuta mileleNI AIBU KWA MTANZANIA KULALAMIKIA VITU KAMA,
Mchele
Maharagwe.
Mafuta.
Unga
AMBAVYO VINALIMWA HAPAHAPA TZ...
Mpo mijini mnazurulazulura na mikeka mikononi mmeacha maeneo ya kulimia wanachungia ngo'mbe tu, halafu daily kulalamika bei ya unga wa ugali serious! Haya njoo uchukue debe mbili za mahindi ukasage unga
Kimfano garama za huduma za afya nazo tukalime? Bei za mafuta, na tozo!Hao uliowataja unataka wakakulimie au? Hii tabia ya utegemezi na kudhani watu Fulani ndio wekusababishia Ugumu wa Maisha ni mbaya sana.
Hali ya maisha imekuwa tete sana.
Mchele
Maharagwe.
Mafuta.
Unga
Havinunuliki. Viongozi amkeni msimuharibie mama.
Hali mbaya wengine wakichota billions
NI AIBU KWA MTANZANIA KULALAMIKIA VITU KAMA,
Mchele
Maharagwe.
Mafuta.
Unga
AMBAVYO VINALIMWA HAPAHAPA TZ...
Mpo mijini mnazurulazulura na mikeka mikononi mmeacha maeneo ya kulimia wanachungia ngo'mbe tu, halafu daily kulalamika bei ya unga wa ugali serious! Haya njoo uchukue debe mbili za mahindi ukasage unga
Kwa hiyo hao uliowataja ndio wanesababisha gharama za Afya kuwa Juu?Kimfano garama za huduma za afya nazo tukalime? Bei za mafuta, na tozo!
Kumbuka ktk ripoti ya c.a.g. wamekwapua mabilion kadhaa na hujuma kibao, hayo na madudu mengine ndio yanazidisha ugumu wa maisha kwa wa tz.
Serekali ina wajibu wa kuboresha maisha ya raia wake.
Rudi kijjn ukalime mkuu, mvua zote hizo ww umejificha kwenye kibanda Cha kubetia unasikilizia ushinde mil. 200😄Hata yule mataafu anayeangusha birthday parties NY ana mawazo kama wewe.
Vipi nawe ni mhuni, mlamba asali au kijana hovyo hovyo tu?