Kikwava
JF-Expert Member
- Sep 6, 2015
- 1,741
- 1,068
Tunaonekana Masikini kwasabu hatuvai tukapendeza lakini watoto wanasoma vyuo Tena private tunauza mifugo na mazao, pia huku kuuza unga kwanza ni aibu...huta ona mtu mzima Kama ww analalamika na Bei za unga...Hai wanaolima huko vijijini mbona ndio maskini?. Acheni kutetea ujinga. Hali ya Maisha ni mbaya, Kama wewe umeshiba kaa kimya, usiwasemee wenye njaa.