Unakereka sana tukihoji haya ndugu?Rudi kijjn ukalime mkuu, mvua zote hizo ww umejificha kwenye kibanda Cha kubetia unasikilizia ushinde mil. 200😄
Bado unajiona una akili kichwani?
Kwenye list ya Dkt. Mollel lazima uwe na nafasi muhimu sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakereka sana tukihoji haya ndugu?Rudi kijjn ukalime mkuu, mvua zote hizo ww umejificha kwenye kibanda Cha kubetia unasikilizia ushinde mil. 200😄
Haiwezekani mtu unalima unajishugulisha ukasema upo Hali mbaya kimaisha, kwani hao mafisadi wamekuvunia mahindi yako shambani, wamekuibia mifugo yako, wamekunyang'anya ardhi yako, wamekubomolea makazi yako?Unakereka sana tukihoji haya ndugu?
View attachment 2580569
View attachment 2580571
View attachment 2580573
Bado unajiona una akili kichwani?
Haiwezekani mtu unalima unajishugulisha ukasema upo Hali mbaya kimaisha, kwani hao mafisadi wamekuvunia mahindi yako shambani, wamekuibia mifugo yako, wamekunyang'anya ardhi yako, wamekubomolea makazi yako?
Haiwezekani mtu unalima unajishugulisha ukasema upo Hali mbaya kimaisha, kwani hao mafisadi wamekuvunia mahindi yako shambani, wamekuibia mifugo yako, wamekunyang'anya ardhi yako, wamekubomolea makazi yako?
Hata Marie Antoinette, mke wa Mfalme Louis XVI wa Ufaransa naye alikuwa na majibu ya aina hii kwa watu wenye njaa!Hao uliowataja unataka wakakulimie au? Hii tabia ya utegemezi na kudhani watu Fulani ndio wekusababishia Ugumu wa Maisha ni mbaya sana.
Hali ya maisha imekuwa tete sana.
Mchele
Maharagwe.
Mafuta.
Unga
Havinunuliki. Viongozi amkeni msimuharibie mama.
Hali mbaya wengine wakichota billions
Hao uliowataja unataka wakakulimie au? Hii tabia ya utegemezi na kudhani watu Fulani ndio wekusababishia Ugumu wa Maisha ni mbaya sana.
NI AIBU KWA MTANZANIA KULALAMIKIA VITU KAMA,
Mchele
Maharagwe.
Mafuta.
Unga
AMBAVYO VINALIMWA HAPAHAPA TZ...
Mpo mijini mnazurulazulura na mikeka mikononi mmeacha maeneo ya kulimia wanachungia ngo'mbe tu, halafu daily kulalamika bei ya unga wa ugali serious! Haya njoo uchukue debe mbili za mahindi ukasage unga
Wakisema ndio watashiba?Kama umeshiba kaa kimya, acha wenye shida waseme.
🤣🤣🤣🤣🤣 Kweli kiongozi, watu wanazurura na mikeka, soksi na boxa kwenye baa na maeneo mbalimbali huko alafu anataka ale kwa bei rahisi. Maisha hayarudi nyuma usiombe yakuache utajuta milele
Hakuna kitu kama hicho,fanya kazi acha excuses za kijinga.Hata Marie Antoinette, mke wa Mfalme Louis XVI wa Ufaransa naye alikuwa na majibu ya aina hii kwa watu wenye njaa!
Kilichokuja kumkuta na mume wake baada ya hizo kauli zake; kimebakia kuwa ni historia kwa nchi ya Ufaranda vizazi na vizazi.
Jiulize mwenyewe na ujijibu.Wakisema ndio watashiba?
Kamwe maisha hayamsubiri mvivu na mjinga. Pambana uende nayo sambamba. Bidhaa hazijawahi kuwa bei nafuu kwa mtu asiyejituma na kutumia akili
Kama vile hawaendi chooHali ya maisha imekuwa tete sana.
Mchele
Maharagwe.
Mafuta.
Unga
Havinunuliki. Viongozi amkeni msimuharibie mama.
Hali mbaya wengine wakichota billions
Rudi kijjn ukalime mkuu, mvua zote hizo ww umejificha kwenye kibanda Cha kubetia unasikilizia ushinde mil. 200😄
Muda ukifika, badala ya wanyonge kuhamia Burundi; kibao kitawageukia. Endeleeni tu kupuuzia changamoto zinazo wakabili watu wa hali ya chini.Hakuna kitu kama hicho,fanya kazi acha excuses za kijinga.
Kwani ss tunakaa kijjn ili tuwe mabilionea Nani kakwambia mkuu, nasema ni aibu kulilia bei za unga huku mmekaa mijini mnacheza na mikeka ya mhindi tu mmeacha ss tunauza mahindi debe 25000/Ingekuwa hivyo wote wanaokaa vijijini na kulima wangekuwa mabilionea. Punguza dhihaka kwa wenye shida.
Hivi kabisa mtu miaka hii ya Sasa unalia na bei za unga wa ugali, na mahindi yanastawi popote pale nchini, halafu mtu unataka serikali iweke ruzuku kwenye unga serious! Kijana achana na uvivu, unatutia aibu..Sasa ufisadi unahusiana vipi na ww kushindwa kuwa na unga? Achana na mikeka mkuuMawazo duni kabisa ya mtu ambaye bila shaka ana ki ID cha msaada:
View attachment 2580583
Miaka 8 ya kazi una posts 265.
No wonder!
Sawa lakini hao unakoita Wanyonge mara nyingi hawajui wanataka nini na hata kikibadilika watakaoshika madaraka sio Wanyonge ila matapeli wachache kama nyie and so mambo yanakuwa Yale Yale..Muda ukifika, badala ya wanyonge kuhamia Burundi; kibao kitawageukia. Endeleeni tu kupuuzia changamoto zinazo wakabili watu wa hali ya chini.
Hivi kabisa mtu miaka hii ya Sasa unalia na bei za unga wa ugali, na mahindi yanastawi popote pale nchini, halafu mtu unataka serikali iweke ruzuku kwenye unga serious! Kijana achana na uvivu, unatutia aibu..Sasa ufisadi unahusiana vipi na ww kushindwa kuwa na unga? Achana na mikeka mkuu