Hali ya mjini hapa Dar es Salaam ni tofauti na nilivyofikiria

Ndivyo ilivyo mkuu.
Toa ulicho na uwezo nacho, sio unatoa unabaki na manung'uniko na kuanza msimulia kila mtu ali ulimsaidia fulani
Daaha mkuu yaani kuna kipindi hadi nikawa nasema au shida nimelogwa.

Ila nikagundua hapana ni vile show kali tuu
 
Pengine maneno ya chidbenzi yana ukwel, iyo mbuga nzito
 
Naunga mkono hoja hii maza, matanzania mengi hayajui tofauti ya R na L, penye R wanaweka L, penye L inapachikwa R. Hii ni mpaka kwa wale wanaojiita wasomi, inatia kichefuchefu sana
 
Naunga mkono hoja hii maza, matanzania mengi hayajui tofauti ya R na L, penye R wanaweka L, penye L inapachikwa R. Hii ni mpaka kwa wale wanaojiita wasomi, inatia kichefuchefu sana
Ili uwe msomu inabidi uwe na vigezo gani.
Ukute mnaunga mkono kumkandamiza mtu ambaye sio msomi..
Badala ya kuelekeza nyie mnakalia kukosoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…