Hali ya mjini hapa Dar es Salaam ni tofauti na nilivyofikiria

Mjini pazito kivipi?....fafanua aiseee.
 
Mjini si Dar tu! Acheni uongo uongo! Life is how you make it! Sio lazima kukomaa na Dar wakati unaweza kwenda Mwanza na ukakomaa na kutoboa!
 
Yani R na L ndio sababu Tanzania bana Ila tutafika tu.
 
Mimi niko hapa Dar kitambo ndo maana Mo Dewji alisema vijana wa Dar wanazidiwa kipato na vijana wa mikoani!
Njombe,Kahama ,Mwanza kuna fursa nyingi endeleeni kuamini ujinga wa Mjini wakati hata huko ni mjini tu kwa maana ya huduma zote unapata!
Mbona yeye aendi kuwekeza njombe huko kaweka viwanda vyake dar hapa mkuu
Za kuambiwa changanya na zako
 
Mbona yeye aendi kuwekeza njombe huko kaweka viwanda vyake dar hapa mkuu
Za kuambiwa changanya na zako
Kaka acha uongo Tanzania maisha sio Dar tu!
Wengi wa vijana ni malimbukeni sana na wengi hawana ndoto wanaishi maisha ya kusadikika!
Dar ni mkoa kama mikoa mingine utofauti wa Dar ni jinsi gani unafanya kazi zako!
Nikukumbushe sehemu kubwa ya shughuli za Dar zinakonection na mikoani kwa hiyo Dar is nothing bila mikoa mingine!
Juzi kati tu hapa Kahama imeongoza Tanzania kwa makusanya ya kikodi unasemaje Dar ni bora kuliko Kahama wakati hata Dar unayokaa ni Mbagala au Kigogo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…