Hali ya mjini hapa Dar es Salaam ni tofauti na nilivyofikiria

Wewe upo wapi mkuu
 
Tenga muda wa kuzungumza na mamlaka yako ya juu higher power

Jitahidi uwe mtoaji.

Baada ya hapo be positive usilalamike kwa lolote DSM is cool area everybody can make rich.
Yaaah mkuu najitahidi kufanya hivo mkuu...
Wanasema ukiwa unawaza sana negative hata matokeo yatakua hv hvo negative mana issue kubwa hapa ni mind tu ni jinsi gani una i command...

Mi mamlaka yangu ya juu ni my mind mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…