Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
- Thread starter
- #301
Huyu bi mkubwa akikamia kitu.ππππππππ
Hutoboi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu bi mkubwa akikamia kitu.ππππππππ
Sasa pesa anapataje hapa mkuuAsilimia 70 ya watu wa mjini wanaishi kwa hii janjajanja sasa ukiwa mgeni huwezi kuelewa kinachofanyika hadi hela inaingiaπππππ
Ahahaha mkuu kweli mi ni jasiri maana nakomaa tuu haijarishi na hayo mambo ya kushika ukuta ni kuomba Mungu tu atuepushe kwa kweli sio wewe wala sio mimiUlikosea sana kuja Dar, wenzako waliokuja kwa pupa wengi wao hivi sasa wanashikishwa ukuta huko mitaani. Sema tu wewe ni jasiri kwa kuamua kukomaa na maisha badaΕa ya kuinamishwa, hongera sana kwa hilo. Vumilia tu utafika.
Mkuu sio kwamba nipo idle hapa nina biashara nafanya hapa ila sasa naona kabisa....Mkuu ingia ukopeshe vyombo kama waha pitia bukubuku
Ahahaha wanatuonea sisi tuu dadek zao.Hivi kule kurumatuma ni hata kwa wahindi wenzao ni kwa waafrika
Ahahahaha nimecheka sana mkuuu daaah..Huwa nashangaa nkiona mtu ana uza pipi,jojo,vocher kwenye ka sahani hapa dar like how .
Unataka nifate njia za hovyo mkuu..MJINI UKIWA CHUMA ULETE UNATOBOA
upo dar sehemu gani?Madamu b huyo yupo dodoma ila. angekua mjini hapa mbona ningemfata mapema sana.
Nipe connection ya mashangazi ya dar
asipopambana atatoboka rindaPambana mpaka utoboe mkuu,usikate tamaa
Nipe story ya hasani mkuu.upo dar sehemu gani?
sikiliza mind your business ya darasa usije ukawa kama shabani
Nipo gombo la ngotoupo dar sehemu gani?
sikiliza mind your business ya darasa usije ukawa kama shabani
Mkuu mkuu napambana sana...asipopambana atatoboka rinda
Mkuu tunapambana sana sana yaani hali sio poa ujueeePambana mpaka utoboe mkuu,usikate tamaa