Hali ya SGR ni mbaya na mradi haujulikani utakamilika lini

Hali ya SGR ni mbaya na mradi haujulikani utakamilika lini

Wewe huna akili usinichoshe.

Mkoloni hakujenga reli kama pambo,nyie mbumbumbu mnajenga reli huko Kanda ya Ziwa ikafanye nini?
Leo, zaidi ya wakati wowote ule tokea nianze kuona mabandiko yako mengi humu JF, pamoja na kutoyasoma; lakini nimejua jinsi gani ulivyo juha.

Huyu mama anayetegemea watu kama wewe kumsaidia aendelee baada ya 2025, naona kwa ujinga wake mwenyewe anawekeza kwa watu wasiokuwa na uwezo wowote hata wa kudanganyia watu kidogo.
Huyo huyo mwanamke akisoma haya uliyoandika hapa, baada ya kukaza mishipa na DP World na IGA kama mlivyokuwa mkifanya, akiyaona haya atatamani mrudishe pesa zote alizowalipa.
 
Leo, zaidi ya wakati wowote ule tokea nianze kuona mabandiko yako mengi humu JF, pamoja na kutoyasoma; lakini nimejua jinsi gani ulivyo juha.
Idiot
download.jpg
 
Ni mambo kama haya yanayokuondolea hata hiyo heshima ndogo wasiojua kitu wanayo weza kukupa wewe pamoja na ukichaa wako.
Hiyo mistari uliyoandika hapa inaonyesha wazi huna ufahamu wa lolote unaloandika juu yake.
Kama kweli wewe ni "mchumi" kama unavyodai mwenyewe, basi fani hiyo haina maana yoyote, ni ujinga mtupu.
Unanichosha tuu,ndio shida ya mpumbavu Huwa hajui kama ni mpumbavu
 
Mkuu haya maneno mazuri kama almasi umeyapata wapi? Hebu rudia tena kwa sauti: ''Tanzania kuamua kutumia kiswahili kama lugha ya Taifa ilikuiwa kosa kubwa sana''. Kuna watu wataona kama ni ulimbukeni kusema hivi na watadai iwe kiswahili, iwe kiingereza zote ni lugha tu. Mimi naweza kuapa kabisa kuwa kiswahili kimefanya watu wadumae akili, wasisome, wasitafakari na wawe kama nyumbu tu. Kuna siku nikipata nafasi nitaelezea kwa kirefu.
Kiswahili kinafifiza uwezo wa kufikiri (Thinking capacity) ndio mana utaona Nchi nyingi zinazotumia English kama Lugha kuu ya mawasiliano wako fofauti kabisa na WATANZANIA katika Kujiamini, kutetea hoja, kuhoji, na hata kujieleza.
 
Kiswahili kinafifiza uwezo wa kufikiri (Thinking capacity) ndio mana utaona Nchi nyingi zinazotumia English kama Lugha kuu ya mawasiliano wako fofauti kabisa na WATANZANIA katika Kujiamini, kutetea hoja, kuhoji, na hata kujieleza.
It is true. Kwanza english ina utajiri wa maneno na theories ambazo ndizo zilizowafanya wazungu wakaendelea. Halafu english kwa nchi kama yetu ingekuwa chujio zuri sana la kuchuja waliosoma na vilaza (hili nasema nikijua kuwa ili kujua english siyo lazima usome shule). Sehemu kama bungeni tungekuwa na watu wenye upeo na siyo kina Kibajaji.
 
It is true. Kwanza english ina utajiri wa maneno na theories ambazo ndizo zilizowafanya wazungu wakaendelea. Halafu english kwa nchi kama yetu ingekuwa chujio zuri sana la kuchuja waliosoma na vilaza (hili nasema nikijua kuwa ili kujua english siyo lazima usome shule). Sehemu kama bungeni tungekuwa na watu wenye upeo na siyo kina Kibajaji.
Ili tupige hatua hatuna budi kusisitiza matumizi ya Kiingereza.

Ndio mana Paul Kagame (Rais wa Rwanda) ameamua kuajiri waalimu kutoka Zimbabwe kwenda kufundisha kiingereza Nchini kwake.

Hii inaonesha namna Kiingereza kilivyo muhimu.
 
Leo, zaidi ya wakati wowote ule tokea nianze kuona mabandiko yako mengi humu JF, pamoja na kutoyasoma; lakini nimejua jinsi gani ulivyo juha.

Huyu mama anayetegemea watu kama wewe kumsaidia aendelee baada ya 2025, naona kwa ujinga wake mwenyewe anawekeza kwa watu wasiokuwa na uwezo wowote hata wa kudanganyia watu kidogo.
Huyo huyo mwanamke akisoma haya uliyoandika hapa, baada ya kukaza mishipa na DP World na IGA kama mlivyokuwa mkifanya, akiyaona haya atatamani mrudishe pesa zote alizowalipa.
Huyo jamaa uwa ni mchumia tumbo. Don't expect sense from him.
 
Huyo jamaa uwa ni mchumia tumbo. Don't expect sense from him.
Tatizo kubwa kwetu, watu wa aina yake ndio sasa wanaopigia kampeni maovu yanayofanyika nchini yaendelee, na kuna wajinga hawaoni hatari kubwa inayoliandama taifa letu!
 
Back
Top Bottom