Hali ya SGR ni mbaya na mradi haujulikani utakamilika lini

Hali ya SGR ni mbaya na mradi haujulikani utakamilika lini

Narudia tena ukiwa kiongozi ni lazima uwe na uwezo wakuja na solution, kiongozi yoyote akija madarakani na kuanza kulaumu kiongozi aliyepita huyo hafai kuwa kiongozi. Madaraka yanapita mikononi mwa watu na yako mazuri na mabaya yanafanyika. Sasa awamu tano zote zimepita mi mwendo wa kurekebisha na kuendeleza mazuri na kumbuka ni chama kimoja CCM. Sasa turudi kwenye topic, VP alikuwa waziri wa fedha awamu ya 5 na waziri muhimu katika awamu ile na hapa ndio tunakosa maadili ya kuwa viongozi, Mimi kama naona sikubaliani na jinsi unavyofanya jambo fulani unaomba kuondoka kwenye serikali hiyo ili upate muda wa kutoa maoni yako huru, huwezi kukaa kimyaa halafu leo useme mimi sikuhusika hapana ni udhaifu wa mtu kuwa kiongozi. Ukiwa ndani ya serikali ni collective responsibility hutaki una resign ndio mwanamme mwenye msimamo. ukibaki ndani wewe ni sehemu usikimbie kuwajibika.

Ndio maana kocha akiondoka anaondoka na jopo lake.
Kwanza nani alianzisha tabia ya kutukana watangulizi zaidi ya Mwendazake? Na yeye lazima apewe vidonge vyake , yatamfikia huko huko kaburini ila hawezi kutamka kujitetea.

Mwisho solution imeshawekwa hakuna kilichosima ila ukilaumu utaambiwa yaani ujenge msingi hovyo uje kulaumu anaeweka Kuta?

Africa hakuna ambae anaondoka kwenye serikali Kwa hiari kwanza Ukiharibu kufanya hivyo bila hiari ya Rais Unaweza potea.
 
Huna akili wewe na huyo unaemtetea aliyeanzisha Sgr tembo mweupe kwenda kusiko na maana yeyote kiuchumi.

Napendekeza somo la basics of economics liwe la lazima Kwa watu wote hususani viongozi Ili walau wajue scale of preference itasaidia ukurupukaji kama wa kina Mwendazake.

We mpumbavu hakuna mwananchi ana shida na Sgr Nchi hii na Wala haitasaisia chochote kama ambavyo Tazara haijasaidia chochote View attachment 2786021
Nikiendelea kujibizana na wewe nitaonekana kuwa chizi kama ulivyo wewe.
Huna lolote la maana unaloongeza katika mabandiko chungu nzima unazojaza humu.

Mfano mzuri kabisa ni haya uliyoweka hapa. Mtu mwenye akili timamu kamwe hawezi kuwa na fikra za kichizi kama hizi unazozionyesha wewe.
Na yote haya ya kujitoa akili, ni kwa sababu tu ya makombo unayotupiwa hapo chini kama mbwa koko?
Hopeles Kabisa.
 
Nikiendelea kujibizana na wewe nitaonekana kuwa chizi kama ulivyo wewe.
Huna lolote la maana unaloongeza katika mabandiko chungu nzima unazojaza humu.

Mfano mzuri kabisa ni haya uliyoweka hapa. Mtu mwenye akili timamu kamwe hawezi kuwa na fikra za kichizi kama hizi unazozionyesha wewe.
Na yote haya ya kujitoa akili, ni kwa sababu tu ya makombo unayotupiwa hapo chini kama mbwa koko?
Hopeles Kabisa.
Utaninibu Kwa lipi wakati wewe ni mweupe na akili za Uchumi huna? Si utaishia kujifariji Kwa kutukana hovyo tuu
 
Kampuni ya Yapi Markezi haina uwezo tena wa kifedha kuendeleza huu mradi na ni wazi kuna mambo yanafichwafichwa sana juu ya nini chanzo na nani yuko nyuma ya hili jambo baya kabisa kuwahi kutokea. Yaani hela za mradi zimeibwa halafu tunakwenda kukopa nyingine kufidia zilizoibwa!.

Mradi huu una mikopo lukuki na yote tulitangaziwa hapa na tunajua fedha zote za kukamilisha mradi huu zilipatikana zote na ili kuweka angalizo kwa watanzania tunawakumbusha kuwa huu ni mkopo na watakaolipa ni watanzania hawa masikini.

Leo mradi umesimama na mkandarasi kaweka wazi kuwa hana fedha!. tunachukulia jambo hili kiwepesi sana na kama ni jambo dogo na hakuna shida yoyote lakini leo nataka niseme kuna WIZI MKUBWA sana umefanyika kwenye huu mradi mpaka mkandarasi kakosa fedha kuendelea na mradi na kazi imesimama. Hii ni kashfa kubwa sana na hatuwezi kukaa kimya hata iweje.

Vyanzo vyetu vinasema MAJIZI hayo yakichukua hela yao "in advance" mara tu mkataba uliposainiwa na ndiyo maana Yapi Markezi wamefika mahali hela waliyotoa rushwa kwa lazima imeleta nakisi kwenye utekelezaji.

Hatuwezi kulitazama hili kirahisi tu na kuona ni jambo la kawaida na sasa tunatafuta nkopo mwingine kama nchi ili kumalizia mradi! Swali ni kuwa nani kaina fedha za mwanzo? Nani yuko nyuma ya hii michezo kiasi kwamba anaogopwa kutajwa na kushughulikiwa mpaka nchi inaingia kwenye mchakato wa kutafuta mkopo mwingine kumalizia mradi? Huyu MWIZI special hivi ni nani mpaka anapewa ulinzi wa hivi?

CAG hivi upo kweli? Yaani huu mradi kinachojufanya usiukague ni kitu gani? Bunge hivi mpo kabisa yaani na haya yanatokea mnaona sawa tu? Mnashindwa nini kutoa azimio la kumtaka CAG akague na kuweka wazi shida iko wapi?

Sisi tunajua nani yuko nyuma ya hasara hii kubwa kwa hili taifa na tunajua nguvu inatumika kumficha na kumlinda lakini watanzania hawa pamoja na ujinga wao na ulofa wao hawapaswi kupitishwa kwenye njia hii na kama vyombo husika hasa wewe CAG hamtachunguza hili basi tutawasaidia ifikapo 1 January 2024 siku ya mkesha wa mwaka mpya! (Siku hii utakuwa ni ukurasa mpya unafunguliwa)

Haiwezekani kuwatia watanzania kwenye shida ya deni jingine kubwa hivi huku tunamjua mtu aliye katikati ya haya madili na tunaogopa kumsema!. Watanzania siyo malofa na wajinga kiasi hicho hata kama wanakaa kimya.

Hatuwezi kukaa wa watu kama Kadogosa pale TRL badala ya kufanya kazi wao wako hapo kwa ajili ya kusaidia watu kuiba fedha za watanzania na wanaogopa kuwasema kwa kuwa wanataka kulinda nafasi zao na vyeo vyao na wengine wameahidiwa ubunge kama Kadogosa. Nyie kama mnawaogopa ni vizuri lakini sisi Kigogo Media hatujawahi kumuogopa mtu na hili linajulikana na tutasema waziwazi ili kila mtu ashinde mechi zake.

Watanzania kuna wizi na kashfa ya kutisha kwenye mradi wa SGR na chanzo cha Yapi Markezi kukwama kuendelea na kazi ni mabilioni ya fedha yamekwapuliwa na wakubwa wakati wa kuwapa tenda sasa hawana hela tena.

Ukishaona wizara kapelekwa mbarawa jua kinachoendelea ni upigaji. Jamaa nasikia ni mtaalam sana eneo hilo
 
Utaninibu Kwa lipi wakati wewe ni mweupe na akili za Uchumi huna? Si utaishia kujifariji Kwa kutukana hovyo tuu
Hivi na wewe unajitangaza kuwa ni msomi, halafu eti "mchumi"? Ndiyo maana nchi inazama kwa kutegemea watu wa aina yako. Hapo ulipo unajaza takataka humu ili uonekane na upewe uteuzi na hao hao wenye ma-PhD ya kuhongwa.
 
Hivi na wewe unajitangaza kuwa ni msomi, halafu eti "mchumi"? Ndiyo maana nchi inazama kwa kutegemea watu wa aina yako. Hapo ulipo unajaza takataka humu ili uonekane na upewe uteuzi na hao hao wenye ma-PhD ya kuhongwa.
Wewe huna akili usinichoshe,kama huna guts za Uchumi tafuta ma layman wenzio mkadanganyane.

Wewe Kwa akili Yako mbovu Sgr itakusaidia nini ikiwa Kenya waliojenga Sgr kwenye eneo lenye uchumi mkubwa Bado wanakula hasara? Ndio Ije iwe huko Kanda ya maskini Mwanza, Kigoma na Burundi?
 
Muulize Mwendazake aliyewaambia itakamilika 2019 akafa hata 70% hakufikosha.

Nimeshajibu hapo awali kama hujasoma rejea post sawa wewe mbuzi wa Simiyu.

Mwisho kabisa siko Dar Kwa Sasa,Kwa mara ya mwisho Kwa hiyo section ni Daraja la Juu la kuingia bandarini kule ndio palisalia kwingine kote ilishakamilika kitambo.
Mwendazake pamoja na ukichaa wake, alikuwa na uthubutu. Kama asingekuwa yeye hata hizi alama zilizopo sasa zisingekuwepo.
Kitu pekee anachojua huyo mama yako ni kunadi tu mali za waTanzania. Kama ulivyo wewe, hana lolote kichwani alijualo. Yeye ni kuendeshwa tu na genge lililomshikilia, genge linalokuwezesha wewe kutwa nzima ukishinda humu na kujaza takataka zisizo na mlengo wowote.
 
Mwendazake pamoja na ukichaa wake, alikuwa na uthubutu. Kama asingekuwa yeye hata hizi alama zilizopo sasa zisingekuwepo.
Kitu pekee anachojua huyo mama yako ni kunadi tu mali za waTanzania. Kama ulivyo wewe, hana lolote kichwani alijualo. Yeye ni kuendeshwa tu na genge lililomshikilia, genge linalokuwezesha wewe kutwa nzima ukishinda humu na kujaza takataka zisizo na mlengo wowote.
Uthubutu wa kufanya maamuzi ya hasara ni upumbavu
 
Jizi limekwiba fedha zote na limeshajifia zake sasa labda mkalidai kaburi.
 
Wewe huna akili usinichoshe,kama huna guts za Uchumi tafuta ma layman wenzio mkadanganyane.

Wewe Kwa akili Yako mbovu Sgr itakusaidia nini ikiwa Kenya waliojenga Sgr kwenye eneo lenye uchumi mkubwa Bado wanakula hasara? Ndio Ije iwe huko Kanda ya maskini Mwanza, Kigoma na Burundi?
Kwa hiyo kwa kuwa huoni faida ya SGR, ndiyo maana mnataka kuiua?
Na kwa vile uchizi umekujaa kichwani, hata hukumbuki ulivyokuwa ukililia hiyo hiyo SGR ielekezwe huko kwenu!
Nikisema wewe ni mtupu kabisa kichwani huwezi kuelewa ninachokwambia.
 
Kwa hiyo kwa kuwa huoni faida ya SGR, ndiyo maana mnataka kuiua?
Na kwa vile uchizi umekujaa kichwani, hata hukumbuki ulivyokuwa ukililia hiyo hiyo SGR ielekezwe huko kwenu!
Nikisema wewe ni mtupu kabisa kichwani huwezi kuelewa ninachokwambia.
Nani aliyeiua? Mkandarasi wenu wa mchongo kafilisika,mbona humtaji aliyeua hicho ki Sgr chenu
 
Kwa hiyo wewe ulitaka uamzi ukishafanyika, mara hiyo hiyo uingeze faida?
naelewa najibishana na kichaa, lakini hiki chako naona kimezidi kiwango.
Wakoloni walianza projects ndio wakajenga reli,nyie nyumbu mnajenga reli Ili mpigie picha.Akili au makamasi?
 
Wakoloni walianza projects ndio wakajenga reli,nyie nyumbu mnajenga reli Ili mpigie picha.Akili au makamasi?
Halafu unadai wewe ni msomi wa "uchumi", na akili za kipumbavu kama hizi?
Hapo hapo unatafuta uwe 'opinion leader' wa wapumbavu waliojazana kwenye serikali mbovu hii!
 
Halafu unadai wewe ni msomi wa "uchumi", na akili za kipumbavu kama hizi?
Hapo hapo unatafuta uwe 'opinion leader' wa wapumbavu waliojazana kwenye serikali mbovu hii!
Wewe huna akili usinichoshe.

Mkoloni hakujenga reli kama pambo,nyie mbumbumbu mnajenga reli huko Kanda ya Ziwa ikafanye nini?
 
Tatizo kubwa katika Nchi yetu ni sisi wenyewe wananchi.

Mpaka sasa sijaona wa kuiadabisha serikali kwa thinking tulizonazo, unafiki, uwoga pamoja na uchawa.

Kitu cha pili ni matumizi ya lugha yetu ya kiswahili ( naamini 100%) kiswahili kinachangia sana wananchi kuwa wadumavu wa fikra (Kuhoji, kuchukua hatua)

Ukosefu wa Elimu kwa jamii nyingi za watanzania ndio mtaji ambao unanufaisha tabaka flan
Mkuu haya maneno mazuri kama almasi umeyapata wapi? Hebu rudia tena kwa sauti: ''Tanzania kuamua kutumia kiswahili kama lugha ya Taifa ilikuiwa kosa kubwa sana''. Kuna watu wataona kama ni ulimbukeni kusema hivi na watadai iwe kiswahili, iwe kiingereza zote ni lugha tu. Mimi naweza kuapa kabisa kuwa kiswahili kimefanya watu wadumae akili, wasisome, wasitafakari na wawe kama nyumbu tu. Kuna siku nikipata nafasi nitaelezea kwa kirefu.
 
Wewe Kwa akili Yako mbovu Sgr itakusaidia nini ikiwa Kenya waliojenga Sgr kwenye eneo lenye uchumi mkubwa Bado wanakula hasara? Ndio Ije iwe huko Kanda ya maskini Mwanza, Kigoma na Burundi?
Ni mambo kama haya yanayokuondolea hata hiyo heshima ndogo wasiojua kitu wanayo weza kukupa wewe pamoja na ukichaa wako.
Hiyo mistari uliyoandika hapa inaonyesha wazi huna ufahamu wa lolote unaloandika juu yake.
Kama kweli wewe ni "mchumi" kama unavyodai mwenyewe, basi fani hiyo haina maana yoyote, ni ujinga mtupu.
 
Back
Top Bottom