Uchaguzi 2020 Halima Mdee aache kumnenea mabaya Askofu Josephat Gwajima, akikaidi atapata laana!

Kama kumtukana mcheza porno ni laana naomba na Mimi nilaaaniwe!!

Huyu aliyewatukana waislam!!
Aliyemtukana Askofu wetu?!!

Aliyemdhalilisha mtoto wa Rais. Ndg DAB!!

Aliyemtukana Dr mihogo Slaa??

Au hizo laana siku hizi zinatolewa na wacheza porno??
 
Wewe ndio unaona tofauti

Kinachofundishwa ni kilekile .....watu msiojua ndio mnaona tofauti.

Ndio maana walokole wanabatiza ukiwa mtu mzima kwa maana ya kwamba umewaelewa mitume wote ipasavyo na unaamua kumtumia Yesu kama " njia" ya kumfikia Mungu!
Hata kama ni njia ya kumfikia Mungu utofauti upo, Ukristo sio Uislam. Hii sio mada ya msingi. Mada ya msingi ni jinsi unavyomtetea John Sinns wa Bongo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi nani alimweka wakfu Askofu Gwajima ?????.
 
Sijajua kwanini Halima alisema ameletewa “Mrembo”

Kiukweli haipendezi kutoa maneno kama hayo!

Huyo ni Mwanaume mwenye mke na familia kwanini anamwita Mrembo?

Kweli mleta mada dhihaka na kejeli hazipendezi !
 
Askofu au dalali wa dini?
 
Gwajima hana moral authority ya kumpa mtu yoyote laana.
 
Gwajima akinena mabaya dhidi ya wengine Mungu anakua hana hasira?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijajua kwanini Halima alisema ameletewa “Mrembo”

Kiukweli haipendezi kutoa maneno kama hayo!

Huyo ni Mwanaume mwenye mke na familia kwanini anamwita Mrembo?

Kweli mleta mada dhihaka na kejeli hazipendezi !
Mambo huenda vice versa, ukimwita mwenzako kwa jina baya basi ujue nawewe utaitwa kwa jina baya pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mleta mada nakuelewa vizuri maana inasemekana hata wanaotajwa kuitengeneza ile picha ya ngono Eti tayari wameshaanza kupatwa na kama hayo uloandika!

Alisikika jamaa fulani akiongea kwenye daladala!
 
Nimeandika neno "Gwajima" nimeletewa picha mchanganyiko kuna nyingine anahubiri nyingine anatoa macho
Ile ya kumgaragaza muumini halafu akikaribia kushusha wazungu ananong'ona 'thanks' nayo umeiona?
 

Askofu wako atapigwa laana kotekote kwenye siasa chali kanisani chali, huwezi tumikia mabwana wawili uongo na ukweli.
 
Mzinzi aweza kumlaani mtu? Hasha! Labda kumloga!!!
 
Sisi wananchi wa kawe tunawasikiliza na kuwapima. Wajikite tu kwenye hoja na Ilani zao. Mengine watuachie sisi tarehe 28/Oct/2020.
 
Siasa ni mchezo mchafu akubali kuchafuka. Huwezi lima mpunga bila kukanyaga tope
 
Hovyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…