Uchaguzi 2020 Halima Mdee, fedha za mfuko wa jimbo umepeleka wapi?

utekelezaji hewa na fedha ya uma unakula tokaaaaaaa jambazi kabisa
 
Huyu ni mwezi tu sasa tunataka mabadiliko.. tumemua kuambatana na Gwajima
Dah halima unawaibia hadi wananchi wako kawe hatukutaki wakati huu
Mimi nimkazi original na mzawa wa kawe maeneo ya huku ni mabovu sana na mengine hatarishi kwa maisha ya watu hasa kipindi cha mvua
Huyu mama anasifika sana kwa wizi wa fedha
Duuuu huyu dada ni mwizi tunamtaka Gwajima kawe
Gwajima ndo mbunge tunaemuhitaji kwenye jumbo letu. Kawe mpya na Gwajima
Nimesoma hcho kitabu n mauzauza tu kumbe ndo zake hzo dah
Wana Kawe hatuitaji hata kumuona kwenye jimbo letu.
Wana Kawe hatuitaji hata kumuona kwenye jimbo letu.
Mdee hafai na hatumtaki kawe mtu mwenye ahadi za uwongo na mtu anayehujumu uchumi wetu hatumtaki.....sasa hivi tunataka kwenda na Gwajima na CCM
Account zooote hizi ni mpya zote, zina mwez au miezi miwili

Wameshashauriana huko kwenye groups zao za WhatsApp wanakuja vamia huku

wasted sperm's
 
Gwajima kawe inakuita [emoji106][emoji106][emoji106]
 
Kakitabu kenyewe kamejaa ufyokorooo yaniii Hatutaki kusikia kabisa Sera zake za kipuuziii, Gwajima ndo Mbunge wetu na kama hutaki basi kufa
 
WanaKawe HATUMTAKI TENA mdee
 
Ujinga mtupu,
Ni wapi mbunge Ana idhinisha matumizi ya mfumo wa Jimbo bila wenzake,

Unajua hizi hela nani anazitoa na zinahifadhiwa acc ipi?
 
Halima halima Halima nimekuita mara tatu unasema hela haupewi ndo maana haujakamilisha ulivyoahidi kumbe unapewa pesa inaishia tumboni mwako kweli alafu unakuja tena kuomba kura umeona sisi wanakawe n wajinga kiasi hcho hapana wakati huu nenda kaolewe tu kwanza
 
utekelezaji hewa na fedha ya uma unakula tokaaaaaaa jambazi kabisa
huna huruma hata na watu wako boya kwelii wewe ulivyo kuwa huna hata nsoni kwenye macho yako unatoa nakitabu kwamba umefanya kila kitu. choko wewe
 
JPM wakati anapambana na Lowassa alipiga push-ups nyingi mara kadhaa, ulifahamu maana yake? Dhihaka kwa Lowassa kuhusu afya yake. Rhetorical language.

Wakati huu anapambana na amepigishwa magoti mara mbili akiomba kura, unajua maana yake??

Mataga Tafuta thamani ya X......
 
Naunga mkono hoja kwa kujiuliza halima alisema serikali haimsapport je hizo fedha anazozifanya zipo bank alishindwaje kuzitumia ndo maana tunasema ni bi kidude kashachoka akapumzike
 
Wana jamvi kwanini huyu dada asishitakiwe kwa wizi, halafu miradi mingi anayosema imekamilika hata haijaanza. Fedha za mfuko wa jimbo ziko wapi? Amekula na nani aisee? Mbona Nassari yuko CCM au anapanda fensi😂😂😂😂
 
Huku kwetu akija Yani anachokifanya nikujisifia na kujifanya mbabe hana lolote hatukupi wakati huu tumechoka kukutajirisha alafu sisi tuwe masikini
 
Kwa sasa hana sera maana ahadi zake zote alizotoa 2015 hajazitimiza kabisa.
Barabara ni mbovu,vituo vya afya ni shida shule ndiyo kabisa hela za mfuko wa jimbo amekula mwenyewe zote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…